baraker88
Senior Member
- Feb 26, 2014
- 124
- 147
Kuelekea Bunge la bajeti 2024/2025 naishauri serikali kupitia upya gharama za umeme ambazo zimekuwa na makato mengi sana na kuwa Mzigo kwa Raia. Haya na mengine mengi ndiyo mahitaji yetu sisi wananchi, wabunge punguzeni kusifiana na kutukuzana bungeni, elekezeni mijadala yenu katika kujadili mahitaji ya wananchi na kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya jamii.
Nimeambatanisha muamala wa malipo ya luku niliyoyafanya leo 02/04/2024
LUKU
37..........
9003240931723438544
12.6KWH
6647 7681 6938 6101 22204
Cost 3,688.53
VAT 18% 663.93
EWURA 1% 36.89
REA 3% 110.65
Debt Collected 1,500.00
TOTAL 6,000.00
Nimeambatanisha muamala wa malipo ya luku niliyoyafanya leo 02/04/2024
LUKU
37..........
9003240931723438544
12.6KWH
6647 7681 6938 6101 22204
Cost 3,688.53
VAT 18% 663.93
EWURA 1% 36.89
REA 3% 110.65
Debt Collected 1,500.00
TOTAL 6,000.00