service charge kwa mtumiaji wa mwisho ni mzigo mkubwa sana ziangaliwe upya
Nimekuelewa mkuu ila kwenye LUKU mteja anaetumia zaidi ya unit 75 anapatikanaje, je ni wakati wa kununua umeme yaani let say nanunua unit 40 hazijaisha nakuja nanunua tena unit 40 zingine na kufanya unit 80 kwa mwezi au kuna system ina count vipi, unajua kwa mita hii issue ya zaidi ya 75 unit inaeleweka zaidi kwa kuwa umeme ulikuwa ni postpaid yaani unalipa unachotumia kwahiyo zikizidi 75 tu unit price inachange sasa kwa luku ambao unalipa in advance hapa ndo nachanganyikiwaNaomba kisahihisha kwa wanao tumia umeme chini ya unit 75 kwa mwezi gharama ya umeme ni Tsh 100, na hawa ni wateja wa Tariff4 (T4). Unit zikizodi 75 wakati yupo T4 zile unit zilizozidi mteja analipia Tsh 350.
Na mteja wa T4 hana service charge na hawa ni low usage customer.
a
Well hapa ndipo issue ilipo. Kama mteja hawezi kumudu service, asitumie umeme mpaka hapo serikali itakapokaa na kuona njia bora za kuzalisha umeme ambao wateja wataumudu.Vipi ikitolewa mteja anapopata tatizo kama nguzo kuanguaka,nyaya kukatika,meter kuharibika mafundi wa TANESCO wakuja kutoa huduma wamchaji mteja wateja wangapi watamudu gharama?
Nimekuelewa mkuu ila kwenye LUKU mteja anaetumia zaidi ya unit 75 anapatikanaje, je ni wakati wa kununua umeme yaani let say nanunua unit 40 hazijaisha nakuja nanunua tena unit 40 zingine na kufanya unit 80 kwa mwezi au kuna system ina count vipi, unajua kwa mita hii issue ya zaidi ya 75 unit inaeleweka zaidi kwa kuwa umeme ulikuwa ni postpaid yaani unalipa unachotumia kwahiyo zikizidi 75 tu unit price inachange sasa kwa luku ambao unalipa in advance hapa ndo nachanganyikiwa
Ila kwa uzoefu wangu wa kutumia umeme wa LUKU nimejifunza ukitaka kupata unit nyingi usinunue umeme mara kwa mara (nahisi system ya LUKU inamtambua mteja wakati wa kuweka zile token mfano niliwahi nunua unit nyingi ambazo zilikaa kama miezi miwili hivi nilipokuja nunua umeme wa 10,000 nikapewa unit 9 hapo walikata service charge yao ya buku 5 ya miezi miwili baada ya siku 10 nikanunua umeme wa 30,000 nikapata unit zaidi ya 80 kitu ambacho kwa haraka haraka nimepewa unit nyingi kwa kuwa tayari nimeonekana kama mtumiaji mdogo kutokana na jinsi navyoweka umeme (nielimishwe hapa ila concept yako nimeielewa vizuri hasa kipindi kile cha mita nilikuwa ninazingatia sana ila kwa LUKU hakuna calculation inayoeleweka mfano hapo umeme wa mwekundu nikapata unit 9 of course service charge ilipunguza kwa kuwa nilikaa na umeme zaidi ya mwezi bila kununua lakini nikanunua umeme wa 30,000 nikapata zaidi ya 80 unit kitu ambacho mteja mwingine nae angepata tofauti na mie kwa umeme huo huo wa 30,000
TANESCO waliwahi kupeleka hati ya maombi ya kuongeza bei kwa muda ( Sikumbuki lilikuwa bunge la ngapi), wabunge walikuikubalia TANESCO kuongeza bei kwa makubaliano ya baada ya muda washushe. Nafikiri muda haujafika.
Binafsi umenikuna sana kwanza,huwa sipati jibu ya hizo tozo zitozwazo na TANESCO.
18% VAT haina tatizo inaeleweka
1% EWURA ya kazi gani? Kama ni kitengo kilianzishwa na serikali kwa nini serikali isiwajibike na vitengo vyake kwa hiyo 18%?
3% REA ili iweje,kama mtu unapanua biashara, mtaji si uwe wa kwako? Watumiaji kulipia umeme vijijini,kwani hao watu wa vijijini hawaliipii service line?
Service charge kwa siku hizi ni wizi mtupu.
Mabenki (baadhi) wana account zinazofanana na LUKU, kwa mfano Standard Chartred bank wanayoinaitwa HIFADHI current account- Pay as much as you consume", hii account haina charge yoyote ya mwezi( No single cent charged) wanakucharge tu pale unapotumia.
LUKU ni the same, walitakiwa watucharge tu pale tunapotumia plus 18% VAT hizo charges nyingine ni wizi mtupu!
Sio kweli
Kuingiza gharama za uwekzaji, endapo wewe ni msemaji wa TANESCO, basi dhana nzima ya service charge haipo je kwenye bei ya umememe utaweka nini. Hilo la pili kuhusu bure si sahihi ni moja ya gharama za service charge. Service charge kama ulivyoelezaMkuu Msabila, nilishatoa maelezo ya service charge ukipitia comments za nyuma.
What is service charge?
A type of fee charged to cover services related to the primary product or service being purchased. For example, a concert venue may charge a service fee in addition to the initial price of a ticket in order to cover the cost of security or for allowing electronic purchases. Another example would be a fee for using theATM of a competing bank.
Mimi nadhani Service charge ni muhimu kwa shirika hila la uma kwa sababu zifuatazo
- Gharama kubwa za uwekezaji kuanzia kuzalisha,kusafirisha na kusambaza umeme,Gharama hizi kubwa zinapelekea wawekezaji kuona kuwa kuwekeza kwenye umeme kunachelewa sana kulipa (Long payback period),Hivyo shirika hili la uma limejitahidi kufikisha umeme hata maeneo yasiyo na faida hivyo kulichangia service charge ni kulipa nguvu Zaidi
- Mteja anapopata tatizo kama nguzo kuanguaka,nyaya kukatika,meter kuharibika mafundi wa TANESCO wamekuwa wakitoa huduma bura kabisa kitu ambacho ingekuwa private company ingeingizwa kwenye gharama za mteja ,Service charge imesaidia hili
- Service charge ni kama bima ambayo tunawekeza kwenye shirika la umeme nchini ili liweze kuhudumia wateja wote pale wanapopata hitilafu ya umeme.
- Sio wateja wote wanaolipa service charge bali na kwa wateja wa kundi la T,Wanaotumia umeme kuanzia unit 75 mpaka 7500 kwa mwezi,Waleo wanaotumia umeme chini ya unit 75 wanalipa kwa bei ya ruzuku naamini kabisa service charge inawasaidia watanzania wenzetu wa hali ya chini.