dSamizi
Senior Member
- Jan 2, 2016
- 106
- 54
Kwangu bila kushughulikia matatizo ya makato kibao ya tanesco na hizo sijui ndo service charge.... service yenyewe hatuion.Bila kushughulikiwa sijauona ubora wa JPM, wazir husika utusaidie.... ilisemekana bei ingepungua baada ya matumizi ya ges lkn hakuna lolote