Huyo mkwewre usibishane nae,si unajua ni wagumu kuelewa afu wana mipasho mingi
Unauhakika mzee kisori anasema ukweli? Km ni ukweli kwa nn aseme sasa?Mtafute mzee Kisori ndo atakuambia ukweli kama Nyerere alimkubali Edward au la sio unaleta bla bla.Mzee Kisori amefanya kazi na Nyerere kwa muda mrefu.
haita kuwa news hata ukijiuaLowasa akiteuliwa kuwa mgombea urais najisaidia haja kubwa kwenye ofisi za chama makao makuu.
Huyu Lowassa huyu.......ana tesa mioyo ya watu wengi sana......
Lowasa ndio rais ajaye, hakuna cha nyerere wala nani. Nyere kisha kufa na usia wake hauna maana yeyote. Hii nchi itakaa sawa kama Lowasa atakua Rais.
Nimeipenda hii coment vijana tusimame tuseme hapana kwa mafisadi.Vijana woote TZ TUHAKIKISHE MAFISADI HAWAUPATI URAIS
YES WE CAN