Kwanini Nyerere hakumkubali Lowassa?

Lowasa akiteuliwa kuwa mgombea urais najisaidia haja kubwa kwenye ofisi za chama makao makuu.
 
Safi sana Lowassa, kwa hakika juhudi zako tumeziona katika elimu, huduma za jamii na hata katika maswala ya dini umekuwa ukichangia sana bila kujali dini gani bila ubaguzi......wewe ndiye mzee wa maamuzi magumu, wewe ndiye mzee wa kusema na kutenda, wewqe ndiye mzee na mkombozi wa elimu hapa nchini
 
EDWARD NGOYAI LOWASSA aka LAIGHWANAN ameonyesha nia kubwa sana ya kutaka kwenda ikulu ili kuwakomboa watanzania na matatizo yao lukuki ambayo yanaongezeka kila uchao. LOWASSA amewatumia FRIENDS OF LOWASSA ambao wamemchangia mamilioni ya fedha ambazo katika kuonyesha yeye hana tama hakuzitumia yeye binafsi fedha hizo kama ambavyo wangefanya wengine bali bila kishadushadu wala hiana akazigawa kama alivyopewa kwa vikundi mbalimbali. Kwa kuonyesha yeye ni kiongozi bora na wakupigiwa mfano hakuzigawa kwa wakristo wenzake tu bali pia kwa waislam ab

Ambapo shule kibao za waislam na misikiti vimefaidika kwamisaada hiyo.Hakuishia hapo bali alitoa kwa vikoba na hakujali vikoba ni vyaArusha au lindi au kagera yeye alimwaga pesa. Alipoulizwa maswali ya kizushikuwa huenda fedha hizo zimetokana na money laundering akasema waulizwe FRIENDSOF LOWASSA na sio yeye na pia alipoulizwa je wamelipa kodi jibu lake likawa nihilohilo.


Juzi nilikutana na Mzee KONTWINYE MWAKIFUNGUTE ambae ni mzeewa miaka 81 na alikuwa mwanachama hai wa TANU na sasa CCM na anajuana sana naviongozi wote wa juu wa CCM. Mzee huyu alisema wote wanaodai nyerere hakumpendaLOWASSA na kuwa 1995 alikata jina lake ni waongo wakubwa. Anasema nyerereALIMPENDA SANA, SANA LOWASSA KWANI ALIMKUMBUSHA SOKOINE ambae nyerere alimgroomaje kuwa Rais but akafa. Anasema nyerere hakumtaka Malecela na akatishiakurudisha kadi sio lowassa.




MZEE AMESEMA TUMUENZI NYERERE KWA KUMPA LOWASSA URAIS

Where is chabruma wanakuchokonoa hukuu.
 
EDWARD NGOYAI LOWASSA aka LAIGHWANAN ameonyesha nia kubwa sana ya kutaka kwenda ikulu ili kuwakomboa watanzania na matatizo yao lukuki ambayo yanaongezeka kila uchao. LOWASSA amewatumia FRIENDS OF LOWASSA ambao wamemchangia mamilioni ya fedha ambazo katika kuonyesha yeye hana tama hakuzitumia yeye binafsi fedha hizo kama ambavyo wangefanya wengine bali bila kishadushadu wala hiana akazigawa kama alivyopewa kwa vikundi mbalimbali. Kwa kuonyesha yeye ni kiongozi bora na wakupigiwa mfano hakuzigawa kwa wakristo wenzake tu bali pia kwa waislam ab

Ambapo shule kibao za waislam na misikiti vimefaidika kwamisaada hiyo.Hakuishia hapo bali alitoa kwa vikoba na hakujali vikoba ni vyaArusha au lindi au kagera yeye alimwaga pesa. Alipoulizwa maswali ya kizushikuwa huenda fedha hizo zimetokana na money laundering akasema waulizwe FRIENDSOF LOWASSA na sio yeye na pia alipoulizwa je wamelipa kodi jibu lake likawa nihilohilo.


Juzi nilikutana na Mzee KONTWINYE MWAKIFUNGUTE ambae ni mzeewa miaka 81 na alikuwa mwanachama hai wa TANU na sasa CCM na anajuana sana naviongozi wote wa juu wa CCM. Mzee huyu alisema wote wanaodai nyerere hakumpendaLOWASSA na kuwa 1995 alikata jina lake ni waongo wakubwa. Anasema nyerereALIMPENDA SANA, SANA LOWASSA KWANI ALIMKUMBUSHA SOKOINE ambae nyerere alimgroomaje kuwa Rais but akafa. Anasema nyerere hakumtaka Malecela na akatishiakurudisha kadi sio lowassa.




MZEE AMESEMA TUMUENZI NYERERE KWA KUMPA LOWASSA URAIS
Ushauri wa Diallo kwa wapambe wa Lowassa: Kuleni fedha yake maana ni halali yenu, fedha za kukwapua kwa njia zisizo halali ni haki ya kila mtu kuzitafuna, ila Urais hatopata.Kidumu Ccm.


 
EDWARD NGOYAI LOWASSA aka LAIGHWANAN ameonyesha nia kubwa sana ya kutaka kwenda ikulu ili kuwakomboa watanzania na matatizo yao lukuki ambayo yanaongezeka kila uchao. LOWASSA amewatumia FRIENDS OF LOWASSA ambao wamemchangia mamilioni ya fedha ambazo katika kuonyesha yeye hana tama hakuzitumia yeye binafsi fedha hizo kama ambavyo wangefanya wengine bali bila kishadushadu wala hiana akazigawa kama alivyopewa kwa vikundi mbalimbali. Kwa kuonyesha yeye ni kiongozi bora na wakupigiwa mfano hakuzigawa kwa wakristo wenzake tu bali pia kwa waislam ab

Ambapo shule kibao za waislam na misikiti vimefaidika kwamisaada hiyo.Hakuishia hapo bali alitoa kwa vikoba na hakujali vikoba ni vyaArusha au lindi au kagera yeye alimwaga pesa. Alipoulizwa maswali ya kizushikuwa huenda fedha hizo zimetokana na money laundering akasema waulizwe FRIENDSOF LOWASSA na sio yeye na pia alipoulizwa je wamelipa kodi jibu lake likawa nihilohilo.


Juzi nilikutana na Mzee KONTWINYE MWAKIFUNGUTE ambae ni mzeewa miaka 81 na alikuwa mwanachama hai wa TANU na sasa CCM na anajuana sana naviongozi wote wa juu wa CCM. Mzee huyu alisema wote wanaodai nyerere hakumpendaLOWASSA na kuwa 1995 alikata jina lake ni waongo wakubwa. Anasema nyerereALIMPENDA SANA, SANA LOWASSA KWANI ALIMKUMBUSHA SOKOINE ambae nyerere alimgroomaje kuwa Rais but akafa. Anasema nyerere hakumtaka Malecela na akatishiakurudisha kadi sio lowassa.




MZEE AMESEMA TUMUENZI NYERERE KWA KUMPA LOWASSA URAIS

Muongo mkubwa,

Nyerere huyo huyo aliuliza pia inakuwaje afisa wa serikali (civil servant) anakuwa na nyumba South Africa na anaikodisha kwa Ubalozi??? Hela ameipata wapi ya kufanya hayo?

Nenda kamwambie mzee haijui CCM vizuri!
 
Hujijui ndio mana unasema hivyo mkuu

usiejijua huenda ukawa ni ww, nyerere ni mtu kama ww hupata na hukosa. sio mungu wala mtume wetu. kua tumuabudu na kuzani yy ndio ana maono kuliko wengine

ukiangalia mattz mengi tunayopambana nayo leo ni sehemeu ya madhaifu yake kwenye uongozi.

mwenyewe mara nyingi kakiri mapungufu yake kama mwanadamu
 
Nyerere akifufuka leo atasema hata uagzi siwepo 2015 bali kijana wake safi edward ngoyai laighwanan lowassa atinge tu ikulu
 
hivi nyerere ni kama nani? nyerere ni mtu kama wengine kwangu mm sioni kua kila kitu tuseme angekua nyerere, upuuzi tu

Mtu wa pwani bila shaka utakuwa mzalamo au mndeleko unakuwa huna nidhamu kwa wakubwa na wazee waliotangulia mbele za haki,hv unaona tabu sana nyerere akisifiwa eeh,na mchango wa nyerere kwenye taifa hili hauna wa kulinganishwa nae,pengine kuna kasoro za hapa na pale na yeye alikuwa ni binadamu kuna wakati alikuwa anakosea,kuwa na heshima
 
yani Nyerere wakumkubali LOW-HASA??
Mwl hakuwahi kuwa punguani kisi hicho.
 
Mtu wa pwani bila shaka utakuwa mzalamo au mndeleko unakuwa huna nidhamu kwa wakubwa na wazee waliotangulia mbele za haki,hv unaona tabu sana nyerere akisifiwa eeh,na mchango wa nyerere kwenye taifa hili hauna wa kulinganishwa nae,pengine kuna kasoro za hapa na pale na yeye alikuwa ni binadamu kuna wakati alikuwa anakosea,kuwa na heshima

nyerere kama ulivyo ww una mazuri yako, nnalopinga kutaka kutuaminisha kua nyerere kama vile yeye ndio mungu ndie ajuae mema na mabaya yetu, nani anafaa na nani hafai.

nnarejea upuuuzi tena wa wazi
 
watanzania kwa kweli mungu awaponye kuibiwa kooote uko mmesahau aiee nyie mna roho mbaya sana tena ni pepo limewaingia kwa jina la yesu liwatoke majitu majizi yamewaibia mnahali mbovu halafu bado eti anafaa yani hakuna mtu tz hii mpaka mkawapigia debe majmbazi?
 
nyerere kama ulivyo ww una mazuri yako, nnalopinga kutaka kutuaminisha kua nyerere kama vile yeye ndio mungu ndie ajuae mema na mabaya yetu, nani anafaa na nani hafai.

nnarejea upuuuzi tena wa wazi

Kwa hyo mkuu wewe unaona nyerere hakufanya lolote katika nchi hii,mmoja wa viongozi waliokuwa na maono katika bara.la afrika yeye alikuwa ni miongoni mwao watu kama nkrumah,nelson mandela,samola macheli patric lumumba na wengine wengi lazima tuwaenzi bana,ndiyo yapo mabaya yao lakini walifanyakazi kubwa mno vingenevyo tungeendelea kutawaliwa na wakoloni
 
Back
Top Bottom