Kwanini mwanamke mpumbavu na sio mbanaume mpumbavu?

..... Hebu niwaulize wanaume jambo fulani; mara ngapi wanaume wanafumaniwa kwamba wametembea na wanawake wengine huko nje. Ni nini kinatokeaaa?????????? Wanawake wanasamehe na ndoa inaendelea tena wanawake wanaficha hiyo inakuwa ni siri ya ndani. Je mwanaume akimfumania mke wake amatembea au hata kuhisia inakuwaje??????????????? ndoa huwa inaendelea??????????????????? kwa nini?????????? ....
huyo mwanamke anayekutwa na mwanaume jee?? anakuwa hajaolewa au ana ndoa na mumewe mwingine? akiachwa na mumewe utasema yeye ndiye mwanamke foolish aliyevunja nyumba na huyu aliyesamehe ndio mwerevu?
 
Kusema 'Mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake mwenyewe tena kwa mikono' kwa maoni yangu mimi ni kumtukuza huyo mwanamke. Ikumbukwe hapa neno 'nyumba' halismami kama 'a house' bali 'a home'. Kwa hiyo mwanamke anapewa heshima kwamba bila yeye nyumba itabomoka au itasimama. Kwa namna yeyote lazima utofauti wa ke na me uonekane na halikadhalika uheshimiwe. Hizi habari za kutaka usawa kila mahali zitatufikisha pabaya. Tufike mahali tukubali busara za wahenga na naamini walikuwa na nia njema tu kusema haya.
 
Kwa mazingira ya wayahudi wanawake walikuwa ni viumbe ambao katika jamii walikuwa hawapewi umuhimu kama ikivyo sasa.
Ndio maana ata Yesu alipowalisha watu kwa mkate na samaki ni wanaume ndo walihesabiwa
Tunaambiwa watoto wa Yakobo walikuwa 12 lakini wanawake hawatajwi
Lakini kwa upande mwingine mwanamke ni rahisi kurubuniwa na pia ni mtaalamu wa kurubuni so that as a weakness kwa wanawake wengi

Nadhani si wayahudi tu walipaswa kufanya hivyo. Hili janga lililopo ikulu pale wanawake wana mchango mkubwa sana ktk kulileta. Waangalie wakipewa 2000 na khanga wanavyosahau kuwa hawana visima na hata wakitoka hapo kwenye kampeni wanaenda kulala na majasho bila kuoga, lkn still wakatukebehi kuwa wanachagua handsome.

Angalia wamama walioko bungeni wanavyoshangilia ujinga kwa kupiga meza na kuomba miongozo kwa kila jambo linalosemwa na upinzani ilhali ni wanawake wenzao wanaumia vijijini.
 
huyo mwanamke anayekutwa na mwanaume jee?? anakuwa hajaolewa au ana ndoa na mumewe mwingine? akiachwa na mumewe utasema yeye ndiye mwanamke foolish aliyevunja nyumba na huyu aliyesamehe ndio mwerevu?
Elewa wazo kuu using'ang'ani kamstari kamoja. Wazo hapa ka wanandoa wewe ukimfumania mkeo na mkeo akikufumania ni nani mwepesi wa kusamehe mwenzake na ndoa iendelee; mwanamke au mwanaume? Nikasema mwanamke ni mwepesi wa kusamehe kuliko mwanaume na ni kwa sababu wana uvumilivu kuliko mwanaume. Na kwa msingi huo wa uvumilivu na hekima ndio sababu wamepewa mamlaka hiyo kubwa na Mungu.
 
Elewa wazo kuu using'ang'ani kamstari kamoja. Wazo hapa ka wanandoa wewe ukimfumania mkeo na mkeo akikufumania ni nani mwepesi wa kusamehe mwenzake na ndoa iendelee; mwanamke au mwanaume? Nikasema mwanamke ni mwepesi wa kusamehe kuliko mwanaume na ni kwa sababu wana uvumilivu kuliko mwanaume. Na kwa msingi huo wa uvumilivu na hekima ndio sababu wamepewa mamlaka hiyo kubwa na Mungu.
naelewa wanawake ni wavumulivu zaidi, my point is this
  1. mume nimecheat (kosa langu), mke wangu kanisamehe->mke mwerevu->amejenga nyumba
  2. mke amecheat (kosa lake), mume nimfukuza ->mke foolish->amevunja nyumba
  3. mume nimecheat (kosa langu), mke kaondoka-> ????
  4. mke amecheat (kosa lake), nimemsamehe -> ????
is it her (divinely ordained) duty kuhakikisha ndoa inadumu at any cost? is it the success of a marriage solely on her shoulders?
 
naelewa wanawake ni wavumulivu zaidi, my point is this
  1. mume nimecheat (kosa langu), mke wangu kanisamehe->mke mwerevu->amejenga nyumba
  2. mke amecheat (kosa lake), mume nimfukuza ->mke foolish->amevunja nyumba
  3. mume nimecheat (kosa langu), mke kaondoka-> ????
  4. mke amecheat (kosa lake), nimemsamehe -> ????
is it her (divinely ordained) duty kuhakikisha ndoa inadumu at any cost? is it the success of a marriage solely on her shoulders?
Wewe unaonaje?
 
mwanamke ni rahisi sana kurubuniwa,kwanini shetani hakumfuata adam akamfuata hawa? aliona kumrubuni hawa ni rahisi kuliko adam,na hapo ndipo dhambi ya asili ilipoanzia na ndo sababu binadamu wote lazima tufe kutokana na hiyo dhambi ya asili,so then mwanamke ndo aliye sababisha binadamu wote lazima tufe na hata kwenye ndoa maadui watamtumia sana mwanamke kuivuruga hiyo ndoa so mwanamke itabidi awe strong enough to sustain those temptations
 
Samahani kwa watakaokwazika, lakini IMO, mwanamke ana nafasi kubwa ya kujenga nyumba (na mwanaume kubomoa?). Naogopa kusema wanaume naturally ni ignorant (wap*mbavu?), ndo maana wakaambiwa wakae na wake zao kwa akili. Maybe wanawake wana akili kuzidi wanaume? Otherwise wasingeambiwa hivyo. Angalia wanaume walioachana na wake zao, ama kufiwa na wake wanavyotetereka. The case is mostly toffarent kwa wanawake waliofiwa na wenza ama kuachana.
 
Au inawezekana shetani aliona hamuwezi Adam, awe rafiki wa Eva na Eva ndo atamuweza Adam? Manake nyoka angemshawishi Adam, labda Adam angemshindwa Eva na mission ikawa aborted?
mwanamke ni rahisi sana kurubuniwa,kwanini shetani hakumfuata adam akamfuata hawa? aliona kumrubuni hawa ni rahisi kuliko adam,na hapo ndipo dhambi ya asili ilipoanzia na ndo sababu binadamu wote lazima tufe kutokana na hiyo dhambi ya asili,so then mwanamke ndo aliye sababisha binadamu wote lazima tufe na hata kwenye ndoa maadui watamtumia sana mwanamke kuivuruga hiyo ndoa so mwanamke itabidi awe strong enough to sustain those temptations
 
what i don't understand is, kama mwanamke ni dhaifu kiasi hiki then kwa nini mwanaume hauoni huu udhaifu na anafuata ushauri wa kijinga?? also kwa nini home ikibomoka mwanamke ndio wa kulaumiwa, kwani mwanaume (ambaye ni mwenye nguvu/akili) haoni mambo yakienda mrama na kuokoa jahazi badala ya kumlaumu mwanamke when the ship has sunk??
makungwi gfsonwin and FP naombeni kueleweshwa
Dah, hii mada nimeichelewa kidogo, hata hivyo nitasema kile ninachokiamini. rafiki yangu The Boss kaongelea kuhusu mwanamke kujenga nyumba kwa maana ya home. na kwa mtazamo wangu, ni kweli kabisa home imara kuwa inatengenezwa na mwanamke.
kwa ambao tupo ndoani kwa miaka mingi tumeona mengi sana, ni jukumu la mama kuiweka nyumba yake kwa jinsi anavyoona inafaa/inapendeza. na ukiangalia kwa undani, kama mama siyo imara basi home inayumba sana, kuanzia kwa malezi ya watoto, mume na kila kitu.
mimi siuchukulii huu mstari kama kumdhalilisha mwanamke, nauchukulia kama kumthamini mwanamke, i.e. kuthamini umuhimu wake katika familia. hii inaonyesha familia inayostawi ni ile ambayo ina mwanamke hodari, lakini familia yenye mwanamke mpumbavu haitaweza kudumu, itavunjika..............
Kaunga baby, tabasamu tu sababu huu mstari unaonyesha umuhimu wetu katika familia, bila sisi familia inasambaratika, so tuwe Imara katika kuzilinda na kutetea familia zetu maana sisi ndo mihimili
 
Last edited by a moderator:
Dah, hii mada nimeichelewa kidogo, hata hivyo nitasema kile ninachokiamini. rafiki yangu The Boss kaongelea kuhusu mwanamke kujenga nyumba kwa maana ya home. na kwa mtazamo wangu, ni kweli kabisa home imara kuwa inatengenezwa na mwanamke.
kwa ambao tupo ndoani kwa miaka mingi tumeona mengi sana, ni jukumu la mama kuiweka nyumba yake kwa jinsi anavyoona inafaa/inapendeza. na ukiangalia kwa undani, kama mama siyo imara basi home inayumba sana, kuanzia kwa malezi ya watoto, mume na kila kitu.
mimi siuchukulii huu mstari kama kumdhalilisha mwanamke, nauchukulia kama kumthamini mwanamke, i.e. kuthamini umuhimu wake katika familia. hii inaonyesha familia inayostawi ni ile ambayo ina mwanamke hodari, lakini familia yenye mwanamke mpumbavu haitaweza kudumu, itavunjika..............
Kaunga baby, tabasamu tu sababu huu mstari unaonyesha umuhimu wetu katika familia, bila sisi familia inasambaratika, so tuwe Imara katika kuzilinda na kutetea familia zetu maana sisi ndo mihimili

wewe umeelewa sawa. Kaunga hakuelewa tu
 
Last edited by a moderator:
FP nimetabasamu kwa huruma.
The Boss nimeelewa vya kuzidi na ndio maana nitakatoa huo mchango. Sipendi credit ambayo inayonilazimisha nifanye extra mile eti kwa sababu nimesifiwa. I am a believer of equal responsibility!

Mtoto ukitaka ale, msifie, ukitaka afanye homework msifie, ukitaka aoshe vyombo msifie. My boss ukitaka akuunganishie trip au deal, msifie; sifanyi hivyo atleast kwa my boss, n he hates me for that; coz l always say my mind!

Back to you @FP, nimeona nyumba (homes) nyingi ambazo zimesurvive kwa mume mwerevu; chunguza hata wewe mara nyingi pale ambapo mke hajatulia mume huwa katulia (kichwa/akili na sexually) na pale ambapo mume hajatulia mke hatulia. Mara chache sana kukuta mke na mume wote wametulia.

Mama yangu mimi alitulia, our family friend mama mtu alikuwa pombe na yeye, yeye na vilabu vya pombe za kienyeji. Nikawa nawaza what if baba ndio angekuwa amemuoa yule mama neighbour? Anyway tulikuwa na majirani kama huyo Family friend wetu 4, ambao kina mama wanaqualify kuwa wapumbafu lkn ndoa zilisurvive, kwa werevu wa waume zao. Ofcourse na ya wazazi wangu, death did them apart! Hao ni wamama walioolewa ni early sixties na wengi wao walikuwa wamama wa nyumbani.

In as much as kina mama mnaopenda huo mstari mtajisifia na kusifiwa na kubebeshwa a lot of responsibity kuwa fate ya ndoa yenu ipo kwenu. Ukweli utabaki kuwa alone (bila support ya mume) huwezi!
 
Last edited by a moderator:
jamani unless kama tutataka tukubali kutokukubaliana, lkn kiuumbaji Mungu alimuumba mwanamke baada ya kumwon mwanaume aliyeitwa Adam hakukamilika pasi kua na huyu msaidizi.

mungu alimtoa msaidizi ubavuni mwa adam just to show adam that mwanamke wa kumsaidia lazma awe yule wa ubavu wake. maandiko kusema mwanamke mpumbavu haimaanish kwamba hakuna wanaume wapumbavu bali imenyesha extent ya detrimental effects ambazo zaweza kuzaliwa kwa mwanamke kukubali kuwa mpumbavu. na hii ilibebwa katika dhana nzima ya uumbaji amayo imejengwa ndani ya mwanamke.

if you want to prove it Kaunga think of any weapon of mass destruction ikawa targeted kwa wanaume like wafe wote siku moja kwa mara moja. umewah kuwaza maisha yatakuwaje? definitely yataendelea tu. ila the same weapon ikiwa targeted kwa women life will stop on spot. if you don't know why ask me question
 
Last edited by a moderator:
Kitabu cha Mithali 4:1 inasema..."Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake, Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe".

Hapa sielewi tatizo linatoka wapi. Mimi nilidhani wanawake wangefurahi na kuona wamepewa heshima kubwa kwa tafsiri yangu; kwani hapa Neno hili linaonyesha kwamba Mungu amempa mamlaka makubwa sana mwanamke katika nyumba kuliko mwanaume. Mwanamke amepewa uwezo wa kujenga au kubomoa nyumba. Hakuna mahali kwenye Biblia yote mwanaume amepewa mamlaka haya makubwa namna hii. Kwa nini mnaegemea tu huo upande mbaya lakini huu upande wa mamlaka hamuutazami?

Hebu tutazame tu katika mtazamo wa kawaida na wa kweli, ni nani kwa sehemu kubwa anabeba uzito wa nyumba zetu, kutunza familia, kuweka mazingira ya nyumba kuwa safi na salama, furaha ya nyumba n.k. jibu la wazi ni mwanamke. Hata kama ungetunga sheria ya kunyima huyu mwanamke asifanye hizo kazi automatically atajikuta anafanya tu; kwa nini ? ndivyo Mungu alivyowaumba kwamba wawe na huruma, upendo na wapende amani.

Hivyo mwanamke mwenye hekima anatamani nyumba yake iwe na furaha, upendo na amani. Ni wanawake wachache sana wanaopenda nyumba zisizo na amani, na hili wanaliweza kutokana na moyo wa uvumilivu walio nao. Wanaume ni rahisi sana kugive-up lakini sivyo kwa wanawake. Hebu fikiri wanaume wangepewa mamlaka hayo ya kujenga na kubomoa ni ndoa ngapi leo zingekuwepo? Hebu niwaulize wanaume jambo fulani; mara ngapi wanaume wanafumaniwa kwamba wametembea na wanawake wengine huko nje. Ni nini kinatokeaaa?????????? Wanawake wanasamehe na ndoa inaendelea tena wanawake wanaficha hiyo inakuwa ni siri ya ndani. Je mwanaume akimfumania mke wake amatembea au hata kuhisia inakuwaje??????????????? ndoa huwa inaendelea??????????????????? kwa nini?????????? UVUMILIVU.

Hivyo wanawake jivunieni mamlaka haya ni neema ya Mungu na ni baraka na ndio sababu Neno la Mungu limesema "MWANAMKE MWENYE HEKIMA" sio kila mwanamke, wapumbavu ndio wanabomoa nyumba zao kwa kushindana na mwanaume.


Duuuuh,Analysis ya Ukweli Sana!! Naunga Mkono Hoja Yako 100%
 
Kitabu cha Mithali 4:1 inasema..."Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake, Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe".

Hapa sielewi tatizo linatoka wapi. Mimi nilidhani wanawake wangefurahi na kuona wamepewa heshima kubwa kwa tafsiri yangu; kwani hapa Neno hili linaonyesha kwamba Mungu amempa mamlaka makubwa sana mwanamke katika nyumba kuliko mwanaume. Mwanamke amepewa uwezo wa kujenga au kubomoa nyumba. Hakuna mahali kwenye Biblia yote mwanaume amepewa mamlaka haya makubwa namna hii. Kwa nini mnaegemea tu huo upande mbaya lakini huu upande wa mamlaka hamuutazami?

Hebu tutazame tu katika mtazamo wa kawaida na wa kweli, ni nani kwa sehemu kubwa anabeba uzito wa nyumba zetu, kutunza familia, kuweka mazingira ya nyumba kuwa safi na salama, furaha ya nyumba n.k. jibu la wazi ni mwanamke. Hata kama ungetunga sheria ya kunyima huyu mwanamke asifanye hizo kazi automatically atajikuta anafanya tu; kwa nini ? ndivyo Mungu alivyowaumba kwamba wawe na huruma, upendo na wapende amani.

Hivyo mwanamke mwenye hekima anatamani nyumba yake iwe na furaha, upendo na amani. Ni wanawake wachache sana wanaopenda nyumba zisizo na amani, na hili wanaliweza kutokana na moyo wa uvumilivu walio nao. Wanaume ni rahisi sana kugive-up lakini sivyo kwa wanawake. Hebu fikiri wanaume wangepewa mamlaka hayo ya kujenga na kubomoa ni ndoa ngapi leo zingekuwepo? Hebu niwaulize wanaume jambo fulani; mara ngapi wanaume wanafumaniwa kwamba wametembea na wanawake wengine huko nje. Ni nini kinatokeaaa?????????? Wanawake wanasamehe na ndoa inaendelea tena wanawake wanaficha hiyo inakuwa ni siri ya ndani. Je mwanaume akimfumania mke wake amatembea au hata kuhisia inakuwaje??????????????? ndoa huwa inaendelea??????????????????? kwa nini?????????? UVUMILIVU.

Hivyo wanawake jivunieni mamlaka haya ni neema ya Mungu na ni baraka na ndio sababu Neno la Mungu limesema "MWANAMKE MWENYE HEKIMA" sio kila mwanamke, wapumbavu ndio wanabomoa nyumba zao kwa kushindana na mwanaume.


Duuuuh,Analysis ya Ukweli Sana!! Naunga Mkono Hoja Yako 100%
 
Dah, hii mada nimeichelewa kidogo, hata hivyo nitasema kile ninachokiamini. rafiki yangu The Boss kaongelea kuhusu mwanamke kujenga nyumba kwa maana ya home. na kwa mtazamo wangu, ni kweli kabisa home imara kuwa inatengenezwa na mwanamke.
kwa ambao tupo ndoani kwa miaka mingi tumeona mengi sana, ni jukumu la mama kuiweka nyumba yake kwa jinsi anavyoona inafaa/inapendeza. na ukiangalia kwa undani, kama mama siyo imara basi home inayumba sana, kuanzia kwa malezi ya watoto, mume na kila kitu.
mimi siuchukulii huu mstari kama kumdhalilisha mwanamke, nauchukulia kama kumthamini mwanamke, i.e. kuthamini umuhimu wake katika familia. hii inaonyesha familia inayostawi ni ile ambayo ina mwanamke hodari, lakini familia yenye mwanamke mpumbavu haitaweza kudumu, itavunjika..............
Kaunga baby, tabasamu tu sababu huu mstari unaonyesha umuhimu wetu katika familia, bila sisi familia inasambaratika, so tuwe Imara katika kuzilinda na kutetea familia zetu maana sisi ndo mihimili

Wanawake wote wangeelewa kama wewe FP nyumba zetu zingepona na amani ingetawala sio kwa nyumba moja bali pia kwa nchi yetu. Mungu akubariki.
 
Back
Top Bottom