Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 1,945
- 5,849
Ndugu zangu na mwenye ufahamu na asikie neno hili.
Siyo kwamba tunawachukia wanawake, tunawapenda ila nyie wenyewe ndiyo waharibifu wakubwa, bado mnadanganywa na wanawake wenzenu mafeminist wakiopoteza mwelekeo wa maisha pamoja na wanaume waliokosa akili na kuleft group kwamba kuna usawa 50/50 na mwanaume ila hamtaki kusikia na kufahamu huo ni upuuzi.
Mungu alisema mwanamke mpumbavu huivunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe, tena akafika mbali na kusema mtoto mpumbavu ni aibu kwa mama yake mbaya zaidi alisema Taifa lisilo na maono limehangamia.
Sisi wanaume tuna mbegu na nyie wanawake nishamba lakupanda mbegu tulizo nazo ili tupate mavuno (watoto) wazuri, sasa kama shamba mkae mkijua hakuna mwanaume mwenye akili timamu na aliyekamilika akakubali kuoa mwanamke anayetaka usawa wa kijinsia na anayedai 50/50 baina yake na mwanaume.
Wanawake kujilinganisha na wanaume huku wakisahau nafasi zao na jinsia zao, wakiyaacha maumbile yao na namna zao za kike ni dalili moja wapo ya upumbavu mkubwa sana na kukosa akili ni ishara za wazi wazi za ushetani na hauna mwanaume atakaye kubali kukuoa. Tutakuchezea alafu tutakuacha uzeeke uwe bibi wa hovyo sana duniani na ufe kifo cha aibu.
Ikumbukwe ndoa nyingi zinavunjika, vijana wengi hawataki na hatutaki kuoa kwasababu ya sera hii mbovu ya usawa wa kijinsia inayohubiriwa kila kukicha kwamba ni mwendo wa 50/50 huku wanawake mnajitoa ufahamu na kuichekelea badala ya kuikemea vikali ili kulinda thamani yenu mbele ya wanaume.
Mwanamke anayejiona yupo sawa na mwanaume huyo ni ibilisi na ni mpumbavu sana hakila na waambieni na mwisho wa huyo mwanamke ni mbaya sana.
Enyi wanawake viumbe wazuri tunawapenda maana Mungu alituamuru tuwapende ila eleweni kwamba hii sera ya usawa wa kijinsia baina ya mwanaume na mwanamke ni mpango wa shetani na imekuja kuwavurugia sifa zenu za umwanamke, sera hii imekuja kuwageuza nyie muwe sex toy kwetu wanaume, huku wengine tukiwaacha single maza na hata wanawake wengine kuuwawa kikatili mno.
Sera hii ya 50/50 imekuja kuweka uadui mkubwa baina ya mwanaume na mwanamke ndiyo maana utajionea sasa hivi wanawake wakiuawa sana kutokana na visa vya mapenzi, humu wengine wakiachwa walemavu, wengine single maza na wengine wakibaki kusema hakuna waoaji.
Enyi wanawake wazee wenye akili wafundisheni wanawake wadogo na mabinti zenu kwamba hakuna na haitakaa kutokea hata siku moja mwanamke akawa sawa na mwanaume, Mwenyezi Mungu wa Mbinguni alisha umba na akatutofautisha wanaume na wanawake, tena akasema nyie wanawake ni viumbe dhaifu tuishi na nyie kwa akili huku akiwapa amri ya kututii sisi wanaume nasi kupewa amri ya kuwapenda na kuishi na nyie kwa akili.
Sis wanaume tunatumia akili sana na haitakaa kutokea mwanaume mwenye akili akakubaliana na wewe kukuoa huku unachembe chembe za ufeminist, kudai haki sawa na kusema wewe na mwanaume ni 50/50, na ikitokea mwanaume mwezetu katekwa na mwanamke mpumbavu ikumbukwe akija kijiweni tutamkanda na kumfungua akili.
TUTAENDELEA KUKATAA NDOA MPAKA MPATE AKILI, MKIJILENGESHA TUTAICHAPA NA MKIZAA MTAKUA SINGLE MAZA NA LITATIMIA LILE NENO KWAMBA IPO SIKU WANAWAKE SABA WATANYANG'ANYANA MWANAUME MMOJA AWAOE
Siyo kwamba tunawachukia wanawake, tunawapenda ila nyie wenyewe ndiyo waharibifu wakubwa, bado mnadanganywa na wanawake wenzenu mafeminist wakiopoteza mwelekeo wa maisha pamoja na wanaume waliokosa akili na kuleft group kwamba kuna usawa 50/50 na mwanaume ila hamtaki kusikia na kufahamu huo ni upuuzi.
Mungu alisema mwanamke mpumbavu huivunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe, tena akafika mbali na kusema mtoto mpumbavu ni aibu kwa mama yake mbaya zaidi alisema Taifa lisilo na maono limehangamia.
Sisi wanaume tuna mbegu na nyie wanawake nishamba lakupanda mbegu tulizo nazo ili tupate mavuno (watoto) wazuri, sasa kama shamba mkae mkijua hakuna mwanaume mwenye akili timamu na aliyekamilika akakubali kuoa mwanamke anayetaka usawa wa kijinsia na anayedai 50/50 baina yake na mwanaume.
Wanawake kujilinganisha na wanaume huku wakisahau nafasi zao na jinsia zao, wakiyaacha maumbile yao na namna zao za kike ni dalili moja wapo ya upumbavu mkubwa sana na kukosa akili ni ishara za wazi wazi za ushetani na hauna mwanaume atakaye kubali kukuoa. Tutakuchezea alafu tutakuacha uzeeke uwe bibi wa hovyo sana duniani na ufe kifo cha aibu.
Ikumbukwe ndoa nyingi zinavunjika, vijana wengi hawataki na hatutaki kuoa kwasababu ya sera hii mbovu ya usawa wa kijinsia inayohubiriwa kila kukicha kwamba ni mwendo wa 50/50 huku wanawake mnajitoa ufahamu na kuichekelea badala ya kuikemea vikali ili kulinda thamani yenu mbele ya wanaume.
Mwanamke anayejiona yupo sawa na mwanaume huyo ni ibilisi na ni mpumbavu sana hakila na waambieni na mwisho wa huyo mwanamke ni mbaya sana.
Enyi wanawake viumbe wazuri tunawapenda maana Mungu alituamuru tuwapende ila eleweni kwamba hii sera ya usawa wa kijinsia baina ya mwanaume na mwanamke ni mpango wa shetani na imekuja kuwavurugia sifa zenu za umwanamke, sera hii imekuja kuwageuza nyie muwe sex toy kwetu wanaume, huku wengine tukiwaacha single maza na hata wanawake wengine kuuwawa kikatili mno.
Sera hii ya 50/50 imekuja kuweka uadui mkubwa baina ya mwanaume na mwanamke ndiyo maana utajionea sasa hivi wanawake wakiuawa sana kutokana na visa vya mapenzi, humu wengine wakiachwa walemavu, wengine single maza na wengine wakibaki kusema hakuna waoaji.
Enyi wanawake wazee wenye akili wafundisheni wanawake wadogo na mabinti zenu kwamba hakuna na haitakaa kutokea hata siku moja mwanamke akawa sawa na mwanaume, Mwenyezi Mungu wa Mbinguni alisha umba na akatutofautisha wanaume na wanawake, tena akasema nyie wanawake ni viumbe dhaifu tuishi na nyie kwa akili huku akiwapa amri ya kututii sisi wanaume nasi kupewa amri ya kuwapenda na kuishi na nyie kwa akili.
Sis wanaume tunatumia akili sana na haitakaa kutokea mwanaume mwenye akili akakubaliana na wewe kukuoa huku unachembe chembe za ufeminist, kudai haki sawa na kusema wewe na mwanaume ni 50/50, na ikitokea mwanaume mwezetu katekwa na mwanamke mpumbavu ikumbukwe akija kijiweni tutamkanda na kumfungua akili.
TUTAENDELEA KUKATAA NDOA MPAKA MPATE AKILI, MKIJILENGESHA TUTAICHAPA NA MKIZAA MTAKUA SINGLE MAZA NA LITATIMIA LILE NENO KWAMBA IPO SIKU WANAWAKE SABA WATANYANG'ANYANA MWANAUME MMOJA AWAOE