Kwanini mnafanya mapenzi kabla ya ndoa?

Kama demu ni bikira nitasubiri ndoa,kama alishatolewa na mimi nitatest kujua anafaa? kwa nini yulle mtu aliyemtoa bikra hakumuoa? so nitaprove anafaa au hafai by Testing!
 
Nani anafanya hivo? shame on them! :eek2:
As for me, I am saving myself for marriage.
 
Inategemea mtu unaamini nini. Sikuwa na sababu ya kujuta au kujiona mjinga baada ya kuitoa bikira yangu, kwa nini nijute ilihali niliamua mwenyewe tu kuwa sasa siitaki ndio nikaitoa? Afterall why keep it!
 
Napenda kuwauliza ndugu zangu, kwa nini mnafanya mapenzi kabla ya ndoa? Why don't u wait until muoane? Researh zinaonyesha hii inasababisha mahusiano mengi yasidumu.
kimsingi si vizuri hasa kama unajua kuwa unajaribu uone kama anafaa.na pia tamaa si nzuri lakini hii hutokana na watu kupenda,NA KUTAMANI VYOTE PAMOJA. WATU WANAPOSHINDWAKUJIZIA NDO MWANZO WA KUANZA MAPENZI. KUDUMU KWA KWA WAPENZI NI TABIA ZA WUSOKA T
 
Ushawahi kwenda kununua nguo ukachukua bila kuipima kama ni size yako????

dah hiyo comparison yako kwahiyo K ndo kama nguo ,mmh what I do believe is that if you really are in luv and respect the relationship marriage is very important bana hata mkibisha kwani mliambiwa hizo ni karanga za kuonja ? acheni um....ya nyie mijianaume mnaopenda kuchezea watoto wa watu , hivi nyie wanaume mnafahamu kuwa mnapokuwa mnachapana God is also there watching the sheep going astray from the sherpherd ? watu cku hizi hawana hofu ya Mungu kabisa ndo maana hata kunanli wanaona poa tu , hiki kizazi cha nyoka mweee
 
Tunakoelekea wanakataa kutestiwa watakimbiwa sana

I have never heard that , You know hata mwanaume akikimbia God didn't meant for the two to be 2gether evrything happen for a reason even if we don't know that reason , me I do believe every woman has got her man , hata huyo malaya aliyemmega akikimbia atakuja Mr right you gat me JAK
 
Napenda kuwauliza ndugu zangu, kwa nini mnafanya mapenzi kabla ya ndoa? Why don't u wait until muoane? Researh zinaonyesha hii inasababisha mahusiano mengi yasidumu.
Niko na wewe hapo nakubaliana na wewe kabisa, na research nyingi zinaonyesha ukishi kihalali maisha yanakuwa mazuri na ukiishi kiharamu maisha yanakuwa mabaya.
 
Back
Top Bottom