Kwanini Mkuu wa Majeshi hapewi heshima?

acha kudanganya watu, wewe hujui hata maana ya mwanajeshi, soma ibara ya 147(4) ya katiba ya Tanzania 1977, mwanajeshi maana yake ni askari wa majeshi yetu yote yaani polisi,magereza,jeshi la ulinzi, na jeshi la kujenga taifa. na pia unaposema JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA maana yake ni pamoja na polisi, magereza, jeshi la kudumu, maarufu hujiita jwtz kitu ambacho si sahihi kisheria, kwani wenyewe jina lao halisi ni REGULAR FORCE, huwezi kuwa na kitu TPDF kwa kuwa tenga polisi na magereza, (UNAPOSEMA TPDF NI PAMOJA NA POLISI+MAGEREZA) nenda kasome sheria ya ulinzi wa taifa (NATIONAL DEFENCE ACT 1966) Kifungu cha 10(1)a-d , pia soma sheria ya majeshi ya akiba ya mwaka 1965 part iii, (RESERVE FORCES ACT), Pia kuna kasumba ya kutamba kwamba kombati za mabakabaka zina maanisha eti ni jeshi kamili, hii kasumba haina ukweli tena inaonesha weledi mfinyu ktk masuala ya kijeshi, nguo zile za mabakabaka ni CAMOUFLAGE HASA UTAKAPOKUA UNAPIGANA MAENEO YENYE UOTO UNAO LINGANA NA VAZI HILO, (KIJANI KIBICHI CHENYE MCHANGANYIKO), HIYO ITAKUSAIDIA USISHAMBULIWE KIRAHISI NA ADUI, lakini kwa ujinga wetu tuna amini kombati za baka ndiyo uanajeshi kamili. huwezi kwenda pigana jangwani then ukavaa kombati za bakabaka , mtapigwa mchana kweupe, kwani itakuwa ni rahisi kwa adui kuwagundua kutokana na kwamba jangwani huwa akuna uoto wa kijani kibichi, kombati sahihi kwa jangwa itategemea na nature ya jangwa lenyewe na lazima itakuwa kaki, n.k


Yametokea wapi hayo? Hapa inshu ni escot manguo,mapigano masheria mi ulipokuja na vifungu nkajua uhalali wa escot kumbe unaelezea masifa ya majeshi na uwepo wake ss tunataka escot tu hayo mengine watajua wao wataka sifa ya nani mkubwa
 
Nakubaliana na wewe mkurugenzi huwa na direct line .....lakini kimfumo CDF ndie joint chief ....wa ulinzi na usalama .......hata hawa IGP, CGP ...huwa na direct line kwa President kwenye baadhi ya mambo
Na Mara nyingi imetokea viongozi wa kisiasa ..Mawaziri wanaopelekwa pale Mambo ya Ndani au Ulinzi inatokea ambao wanakuwa hawajui mipaka wakifikiri hawa wakuu wanatakiwa kuripoti Kwao Kilapilo Kitu....na inafikia baadhi ya Mawaziri hadi wanatoa maagizo ya kufukuza kazi Askari hadharani.....wanakuwa wanavuka mipaka kwakuwa haya majeshi yana mifumo na taratibu....waziri Kama hajapendezwa na jambo inatakiwa amuambie IGP ,CGF,CGP,CGI.....
Tatizo Kama Hilo ndio lilimuondoa Shamsi wizara ya ulinzi ....na pia mambo ya Ndani ...alifikiri kwakuwa alipata kuwa Waziri Kiongozi basi anaweza kuwa arrogant kwa maafisa waandamizi....Kama uraiaani akasahau kuwa kwenye hizi taasisi waziri yupo ceremonial tu lakini boss ni Amiri Jeshi Mkuu.
JF Bwana. Wakati Mwingine Ukisoma Mambo Unacheka Tu !!! Kwamba Shamsi aliondolewa kwa sababu hizo????? So Waziri wa Ulinzi au Mambo ya Ndani hana uwezo wa kutoa maelekezo au amri kwa maafisa waandamizi??? Unaujua Mfumo wa Utendaji Kazi Serikalini, hasa kuhusu usimamizi wa vyombo vya dola??? Give me a break!!!
 
JF Bwana. Wakati Mwingine Ukisoma Mambo Unacheka Tu !!! Kwamba Shamsi aliondolewa kwa sababu hizo????? So Waziri wa Ulinzi au Mambo ya Ndani hana uwezo wa kutoa maelekezo au amri kwa maafisa waandamizi??? Unaujua Mfumo wa Utendaji Kazi Serikalini, hasa kuhusu usimamizi wa vyombo vya dola??? Give me a break!!!


Take a break ...

Anauwezo wa kutoa maelekezo KATIKA mambo ya kisera na kiutawala ...lakini sio UTENDAJI ...na iwapo Ana maelekezo juu ya utendaji .....hatakiwi kupayuka payuka Huku .....hadharani ....kuna namna ya kufikisha .....
Angelia waziri Kama Hussein Mwinyi ....ndivyo hasa waziri kwenye hizi wizara anatakiwa kuwa ...anajuwa mipaka yake Kama waziri .......Sasa unapoona waziri anafukuza kazi Askari ni dhahiri anaingilia mamlaka za kiutendaji .......anachoweza kufanya ni kumuambia mamlaka iwe IGP etc ..through official minutes achukue hatua ......kuna baadhi ya vyeo ...ambavyo huwezi kumchukulia hatua bila kushauriana ...na AMIRI JESHI MKUU .
JUZI nimeona Naibu waziri anafukuza kazi Askari ...nikasema ametoa wapi hayo mamlaka .......maana Hao Askari wako chini ya polisi, uhamiaji,zimamoto etc .....wanna mamlaka zao .......ingetosha yeye kukemea na akitoka hapo apeleke maagizo kwa viongozi wao Ili wao ndio watoe matamko......au kuchukua hatua ..
 
basi
Yametokea wapi hayo? Hapa inshu ni escot manguo,mapigano masheria mi ulipokuja na vifungu nkajua uhalali wa escot kumbe unaelezea masifa ya majeshi na uwepo wake ss tunataka escot tu hayo mengine watajua wao wataka sifa ya nani mkubwa
fuatilia vizuri kunamwenzio amejibiwa hapo kwenye maelezo hayo.
 
Take a break ...

Anauwezo wa kutoa maelekezo KATIKA mambo ya kisera na kiutawala ...lakini sio UTENDAJI ...na iwapo Ana maelekezo juu ya utendaji .....hatakiwi kupayuka payuka Huku .....hadharani ....kuna namna ya kufikisha .....
Angelia waziri Kama Hussein Mwinyi ....ndivyo hasa waziri kwenye hizi wizara anatakiwa kuwa ...anajuwa mipaka yake Kama waziri .......Sasa unapoona waziri anafukuza kazi Askari ni dhahiri anaingilia mamlaka za kiutendaji .......anachoweza kufanya ni kumuambia mamlaka iwe IGP etc ..through official minutes achukue hatua ......kuna baadhi ya vyeo ...ambavyo huwezi kumchukulia hatua bila kushauriana ...na AMIRI JESHI MKUU .
JUZI nimeona Naibu waziri anafukuza kazi Askari ...nikasema ametoa wapi hayo mamlaka .......maana Hao Askari wako chini ya polisi, uhamiaji,zimamoto etc .....wanna mamlaka zao .......ingetosha yeye kukemea na akitoka hapo apeleke maagizo kwa viongozi wao Ili wao ndio watoe matamko......au kuchukua hatua ..
Mambo ya kisera huwa hayahusu utendaji??? Tofautisha mamlaka ya mtu kisheria, na tabia au hulka za mtu (personality) ambazo unasema kuhusu kuropoka!!! Fafanua Mkuu maana inaonekana wewe wajua sana. Tuelimishe
 
MKUU mshangao wangu ni why anapokuwa anapita njia huwa haisafishi?? yaani nayeye unakuta anakuwa kwenye foleni kama kawaida??.

MKUU naomba unisaidie misafara mfano wa raisi huwa unatakiwa kuwa na magari mangapi na huwa anaongozana na wakina nani na waziri MKUU nae pia na spika na je urazima wakuambatana na hao watu ni upi??
akitoa taarifa trafik anasafishiwa njia. sema nyendo zake zinaratibiwa na jeshi na hawapendi kuingiza taarifa za safari zake polisi kwa kuwa usalama wanauratibu wenyewe. Mtazamo wangu
 
Anapewa heshima kubwa sana kuliko wote uliowataja ni ngumu sana kupata no yake ya sm kuliko jpm
 
Au niuelewa wangu mdogo au upo tofauti na ukweli husika?

Kuna huu utaratibu wa viongozi wa kiserikali hasa hapa dar kutembea kwa masafara wa magari kadhaa ukiongozwa na pikipiki.
baadhi ni kama waziri mkuu .spika wa bunge MKUU wa mkoa na mkuu wa polisi Mara NYINGI wanapo kuwa wanapita huwa wanasafishiwa njia kabisa.

Lakini why kwa MKUU wamajeshi huwa tofauti??. Inamaaana kweli kiutendaji hawa wapo juu yake??.

Hivi nji ikipinduliwa nani anashika madaraka ya kuiongoza kama sio MKUU wa majeshi..ss kwanini hapewi heshima ??? au ndio utaratibu??.
wiki iliyopita tulinasa nae kwenye foleni bondeni alikuwa akielekea njia ya TEGETA alikuwa na msafara wa gari 1 tu ya MP ambayo ilikuwa mbele ilibidi washuke nakuanza kupangua gari ili MKUU aweze kupita.
Mkuu wa majeshi wa nchi yoyote ile ana heshima yake kubwa tu. Tofauti yake ni kwamba heshima yake inakidhi matakwa ya privacy...not for public stunt or politics. Ni heshima ambayo haina unafiki.
 
acha kudanganya watu, wewe hujui hata maana ya mwanajeshi, soma ibara ya 147(4) ya katiba ya Tanzania 1977, mwanajeshi maana yake ni askari wa majeshi yetu yote yaani polisi,magereza,jeshi la ulinzi, na jeshi la kujenga taifa. na pia unaposema JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA maana yake ni pamoja na polisi, magereza, jeshi la kudumu, maarufu hujiita jwtz kitu ambacho si sahihi kisheria, kwani wenyewe jina lao halisi ni REGULAR FORCE, huwezi kuwa na kitu TPDF kwa kuwa tenga polisi na magereza, (UNAPOSEMA TPDF NI PAMOJA NA POLISI+MAGEREZA) nenda kasome sheria ya ulinzi wa taifa (NATIONAL DEFENCE ACT 1966) Kifungu cha 10(1)a-d , pia soma sheria ya majeshi ya akiba ya mwaka 1965 part iii, (RESERVE FORCES ACT), Pia kuna kasumba ya kutamba kwamba kombati za mabakabaka zina maanisha eti ni jeshi kamili, hii kasumba haina ukweli tena inaonesha weledi mfinyu ktk masuala ya kijeshi, nguo zile za mabakabaka ni CAMOUFLAGE HASA UTAKAPOKUA UNAPIGANA MAENEO YENYE UOTO UNAO LINGANA NA VAZI HILO, (KIJANI KIBICHI CHENYE MCHANGANYIKO), HIYO ITAKUSAIDIA USISHAMBULIWE KIRAHISI NA ADUI, lakini kwa ujinga wetu tuna amini kombati za baka ndiyo uanajeshi kamili. huwezi kwenda pigana jangwani then ukavaa kombati za bakabaka , mtapigwa mchana kweupe, kwani itakuwa ni rahisi kwa adui kuwagundua kutokana na kwamba jangwani huwa akuna uoto wa kijani kibichi, kombati sahihi kwa jangwa itategemea na nature ya jangwa lenyewe na lazima itakuwa kaki, n.k
Jangwani unavaa kama trafiki na kafimbo
 
ukisoma kifungu cha 56(4) cha sheria ya ulinzi wa taifa Tz, kinawataka jeshi la ulinzi, kutoa taarifa ya mazoezi yao kwa wakazi wa maeneo husika kama mazoezi hayo yataingia kwenye makazi ya watu, basi na mtu atakaye kaidi au kuingilia mafunzo yao atakamatwa na askari wa jeshi la polisi au ofisa wa jeshi la ulinzi au na askari yeyote wa jeshi la ulinzi kwa amri kutoka kwa ofisa wa jeshi la ulinzi, natena mafunzo hayo yanapaswa yawe na kibali cha maandishi kutoka kwa waziri wa ulinzi s.56(1), na pia kwa waziri wa mambo ya ndani kwa mujibu wa penal code, sasa ni mara ngapi jeshi la kudumu au jeshi la ulinzi hufanya mafunzo karibu na makazi ya watu bila kutoa taarifa kwa wakazi? na tena jeshi hili la kudumu la ulinzi huwa hawatoi hata taarifa ndani ya jeshi la polisi chombo ambacho kimepewa mamlaka ya kuhakikisha watu hawaingilii mafunzo yao, kwa mujibu wa kifungu nilicho kitaja. nilazima dhana ya kudharauliana katika majeshi yetu yote iondolewe kila askari amuheshimu mwenzie kwa mujibu wa majukumu aliyo pewa na nnchi.

na hata kama ni kutafuta kwamba chombo kipi kina mamlaka juu ya chenzie bado jeshi la polisi litakuwa namba moja kimamlaka kwani ndiyo chombo pekee cha kusimamia sheria zote za nchi, ukisoma sheria ya usalama wa taifa letu utaona kwamba TISS hawana uwezo wa ku enforce sheria bali kuchunguza tuu lkn jeshi la polisi linachuguza na ku enforce, je ? nani zaidi kimamlaka ?

ukisoma kifungu cha 77(1) cha sheria ya ulinzi wa taifa, askari wa jeshi la polisi (police constable) ambaye kimsingi ni police officer anamamlaka ya kumkamata askari wa jeshi la ulinzi ambaye anasadikika kuwa ni mtoro katika jeshi hilo, au ni mtoro kabisa, kisha kumfikisha mahakamani au kumpeleka kwenye kambi yao, sasa mpaka hapo nani ni kiranja wa mwenzie kati ya jeshi la polisi na jeshi la ulinzi ? ingawa nao askari wa jeshi la ulinzi huweza kuwa na mamlaka ya askari wa jeshi la polisi pale watakapokuwa wanasaidia mamlaka za kiraia (yaani ku enforce civilian laws)kwa Kifungu cha 22 cha sheria ya ulinzi wa taifa Tz

ukisoma C.40 ya kanuni ya adhabu ndani ya jeshi la ulinzi (CODE OF SERVICE DISCIPLINE) inatamka kuwa kitendo cha askari yeyote yule wa jeshi la ulinzi kuzuia askari mwenzao au ofisa wao asikamatwe na askari polisi, wa jeshi la polisi ni kosa tena lina stahili adhabu ya miaka isiyopungua miwili, hii ni sheria ya jeshi la ulinzi lenyewe, swali ni kwamba ni mara ngapi askari wa jeshi la ulinzi hugoma kukamatwa na askari wa jeshi la polisi ? kwa kisingizio kuwa wao hawa wezi kamatwa na polisi ? na kwa mujibu wa kifungu hiki nani ni zaidi ya mwenzie ? any way TANZANIA POLICE FORCE IS THE ORIGIN OF MILITARY CIVILIZATION IN TANZANIA, DRAW ITS HISTORY FROM THE GERMANS IN COLONIAL PERIODS , FOLLOWED BY THE NATIONAL SERVICE, UKIACHANA NA KINGS AFRICAN RIFLE YA MWINGEREZA AMBAMO JESHI LA ULINZI HUPATA CHANZO CHA HISTORIA YAKE, NA TENA HATA VIONGOZI WA KWANZA WA JKT WALIKUWA NI POLICE, 'majeshi yote yanamajukumu ya ulinzi wa taifa letu na kuhakikisha usalama, ni lazima askari (wanajeshi) wote wa vyombo vyote muheshimiane na kuthaminiana.

NAHATA KAMA NI MFUMO WA VYEO VYA KIJESHI AMBAO ASKARI WA JESHI LA ULINZI HUTAMBIA SANAAAAAA, BADO WANAPASWA KUKUMBUKA KUWA MKUU WA KWANZA WA JESHI LA POLICE TANZANIA ALIKUWA NA CHEO CHA "MAJOR" ALIITWA "MAJOR DAVIS " alikuja Tanganyika akitokea South Africa (hiki kilikuwa kipindi ambacho tanganyika ilikuwa chini ya uangalizi wa muingereza), BAADA YA HAPO COMMISSIONER ELANGWA SHAHIDI AKAWA MKUU WA KWANZA WA POLICE KWA WAZAWA, NA BAADAYE TULIPO UNGANA NA ZANZIBAR ELANGWA SHAHIDI AKAWA "IGP" WA KWANZA WA POLICE TANZANIA
Shida polisi wamekaa kisiasa, na mafunzo yao yanaonekana malaini sana. Mtu akitoka tu Jkt anaenda Moshi akitoka huko tayari askari. Zigo la TPDF lisikilizie tu....
 
(TPDF) TANZANIA PEOPLES DEFENCE FORCES (SOMA KIFUNGU CHA 10(1) CHA SHERIA YA ULINZI WA TAIFA/ THE NATIONAL DEFENCE ACT 1966) HAPO UTAELEWA ZAIDI COMPONENTS OF TPDF, NA USIISHIE HAPO TUU SOMA TENA SHERIA YA MAJESHI YA AKIBA / THE RESERVE FORCES ACT 1965 (PART III YA SHERIA HIYO)
Je CDF anaweza kutoka jeshi la polisi?
 
na hata hivyo polisi ndiyo wahusika wakuu wa usalama wa ndani, na kwa mfumo wa vyombo vyetu IGP anawajibika kwa Rais moja kwa moja na si mtu mwingine yeyote yule.Sanasana polisi waache tabia ya kuchukua virushwa rushwa kutoka kwa watu maskini maana hivyo ndivyo vinavyo washushia heshima kwenye jamii. polisi mnamamlaka makubwaa sanaa ambayo hata mtu kama MKURUGENZI, MEYA, DIWANI, MBUNGE, hana hivyo msijitie aibu, nyie ni watu wakubwaa sana kwenye jamii mnao paswa kuonesha njia za unyoofu, sanasana toeni maoni kwa viongozi wenu (ingawa ni ngumu kwa mifumo yenu) iliwapiganie masilahi yenu ya halali ya boreshwe ili mfanye kazi bila hofu ya njaa ya maisha.

kwa mamlaka makubwa na adhimu waliyopewa polisi na sheria zetu, kama polisi wange kuwa wa adirifu basi kusinge kuwa na haja ya kupoteza pesa kwa kuunda vyombo vingivingi mfano Takukuru, kwani polisi wanasimamia msaafu wote wa makosa ya jinai hapa ncnini, sasa rushwa si jinai? ni kwamba polisi waache kuji tia aibu kwa virushwa rushwa, iliwaweze tekeleza majukumu yao kwa ufasaha na jamii iweze pata imani na chombo hiki.

pamoja na mamlaka makubwa waliyo pewa na sheria bado jeshi la polisi la hitaji kufumuliwa lote kwani inaonekana mifumo kandamizi na mifumo ya rushwa imeota sugu ndani ya jeshi hili, hata utoaji wa vyeo vyao bado niwa kiupendeleo na rushwarushwa tuu, Askari wa jeshi hili wamesha lalamikia hili kwa muda mrefu kwenye vyombo vya habari (MAGAZETI) . hii itasaidia kuboresha utendaji, shule yeyote huitaji viranja basi hata jamii yahitaji viranja na kimsingi 'POLISI NI VIRANJA WA JAMII', "SOCIAL ORDER DEPENDS ON YOU POLICE OFFICERS"

Elimu za vijana wanao chukuliwa kuwa wanajeshi wa jeshi hili la polisi pia ziangaliwe, serikali iboreshe mishahara kisha isimamie kikamilifu ili polisi wafanye kazi kwa uadirifu bila rushwa wala upendeleo, (mtu yeyote aliye na hatia basi akamatwe na kufikishwa mahakamani na upelelezi ukamilishwe kwa haraka na kwa usahihi ili haki itendeke)

Wewe utakuwa ni polisi unayejuta kwanini upo huko.
 
Mimi sijawaelewa kusema mkuu was majeshi ana ulinzi mkubwa kuliko ulinzi tunao uona kwa rais au waziri mkuu huo ni uongo jamani kiukweli hakuna ulinzi kama ule wa tiss hapa Tanzania na hata ukiangalia ile safari ya ghafla ya cdf mwaka jana ndo yenye kukuelewesha kuwa makomando ni wanawake kwa usalama wa taifa
 
Mimi sijawaelewa kusema mkuu was majeshi ana ulinzi mkubwa kuliko ulinzi tunao uona kwa rais au waziri mkuu huo ni uongo jamani kiukweli hakuna ulinzi kama ule wa tiss hapa Tanzania na hata ukiangalia ile safari ya ghafla ya cdf mwaka jana ndo yenye kukuelewesha kuwa makomando ni wanawake kwa usalama wa taifa
mmmh!!ngumu kumeza hii
 
Jadilini masuala ambayo ni size yenu huku mlikoingia kulijadili geshi sasa mnatafuta kuumia
 
Back
Top Bottom