Nimejaribu kucheki vyombo vya habari hivyo cku ambako viongozi wa cdm walifika arusha na kufanya mkutano kuhusu maamuzi ya kamati kuu ya kuwafukuza madiwani watano.Vyombo vya habari ambavyo vilipata ujasiri wa kuandika yaliyojiri ni magazeti tu,kulikoni?
Je huu kweli haukuwa ni mpango wa kuwafanya watu wasione msimamo na mwitkio wa watu wa Arusha kuhusu maamuzi yale ya kamati kuu?
Napata msukumo wa kufikiri hivyo haswa ukizingatia kuwa aliyekuwa amepewa nafasi ya unaibu meya wa arusha alisikika akijaribu kuhonga polisi ili mkutano huo usipate kibali cha kufanyika.
Nyie wenzangu wana-jf mwasemaje?
Je huu kweli haukuwa ni mpango wa kuwafanya watu wasione msimamo na mwitkio wa watu wa Arusha kuhusu maamuzi yale ya kamati kuu?
Napata msukumo wa kufikiri hivyo haswa ukizingatia kuwa aliyekuwa amepewa nafasi ya unaibu meya wa arusha alisikika akijaribu kuhonga polisi ili mkutano huo usipate kibali cha kufanyika.
Nyie wenzangu wana-jf mwasemaje?