Kwanini mkutano wa juzi wa CHADEMA Arusha hatukuona kwenye vituo vyote vya TV?

Sasa wewe hujui kuwa vyombo vya habari vimewachoka hamna habari? Subiri uchaguzi mdogo igungu ndio utaona matunda yenu wanannchi watakavyo wakataa, maendeleo hayapatikani kwa maandamano siri ya maendeleo ni umoja lakini kwasababu cdm kampuni ya watu wabinafsi hilo hawalioni, wamevaa miwani ya mbao.
 
itV walionyesha habari ya mwisho kabisa usiku wa saa tano. ila ilikuwa bomba ile mbaya.
ni kama ilizuiwa hivi kwa kuwa saa mbili ilikuwepo kwenye dondoo na kwenye news bar ikawa inapita ila kwenye habari yenyewe hawakuigusa hadi usiku... wanajua wengi vijijini wanaangalia taarifa za habari za saa mbili tena kwa kulipia na baada ya hapo wanaondoka kwenda makwao ambako hakuna umeme ...inaonekana kawaida ila mi naiona kama strategical kabisa ya kupungunguza watazamaji.
 
Vyombo vya habari vingi vina fanya biashara like or not. Inawezekana CDM chama cha demokrasia makini mpunga umepungua kununua masafa. Mbona media nyingine zilirusha na watu walikuwa wengi tu hata Mbunge wangu alikuwepo? Siku hizi hata gazeti letu tulipendalo la Tanzania Daima linachelewa sana kutufikia mikoani. Nikauliza nikaambiwa HUJUMA mbona MWANAHALISI linawahi? tusikimbilie kulalama kuna kitu hakiendi vizuri mle ndani. milioni 100 si mchezo bwn.
 
Kwani kuna ulazima gani vyombo hivi kurusha habari za CDM? Tumeshauri mara kwa mara CDM ianzisha vyombo vyake vya habari ambavyo sisi wapenzi wa mabadiliko tutanunua hisa ili viweze kuendeshwa kibishara. Nina uhakika vitapata biashara kubwa sana.
<br />
<br />
Swadakta mkuu.
 
Been waiting since 1995 bro, its kinda of ol same story.

its only 16yrs bro, kuna wengine walisubiri zaidi ya 50yrs na ikatokea hapa kwetu inakwenda haraka sana, lets wait and pray tuwe hai tushuhudie mabadiliko ya kweli.
 
Wananchi wengi wa Arusha wamekataa kupokea siasa ambazo zinahamasisha kujenga makundi yaliyohasimiana kutokana na itikadi za vyama, badala yake sasa wanataka kujenga Arusha moja wamesema kamwe hawatashiriki maandamano yoyote, alisema mkazi wa Arusha John Ole Telele wa kata ya Kimandolu, na Pete Saibuli wa kata ya Elerai, walikuwa wamejiinamia kwenye Viwanja vya Unga Limited huku wakilia kwa uchungu

Hao ni watu wawili kama ni kweli, je uliwahoji watu wangapi?
 
TV zilikuwepo na zilituhabarisha muda mfupi uliuofuata. unajua ligi ya uingereza imeanza sasa washabiki wengi hampendi kutazama taarifa mnatazama mipira. lawama bila uhakika si mtaji.
 
its only 16yrs bro, kuna wengine walisubiri zaidi ya 50yrs na ikatokea hapa kwetu inakwenda haraka sana, lets wait and pray tuwe hai tushuhudie mabadiliko ya kweli.

Now you are talking, with the likes of Joseph Mbilinyi leading political changes in Tanzania we'll surely have to wait 100 years or more for true changes to materialize.
 
Siku hiyo ndio niliamini askari wetu pia ni wabunifu kwenye ulizi wa raia na mali zao.

Askari wa doria walimshauri jamaa mmoja ambaye alivalia tshirt yenye picha ya raisi aivue isije ikamletea matatizo na jamaa akatii ushauri huo.

Askari mmoja alikata kupanda gari ya stg akisema gari hizo siku hizi wananchi wanazichukia sana.
 
Chadema kinaogopwa hata kivuli chake na CCM hivyo huhimiza wanahabari marafiki(wasiomakini)kutoandika habari zake.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom