Zanzibar inawajali wananchi wake na inatambua maendeleo huletwa na watu wenye afya njema.

Hivi mnaelewa tofauti ya watu 60 mil Vs 1.5 mil. Kwa uchumi gani na kwa Kodi gani tunayolipa kuweza kulipia watu 60 m. Tuache kuzaliana na kila mkoa Uwe na watu one m. Tuunde independent Mini states uone.
 
Hivi Zanzibar sukari bei gani? Mafuta ya kula je??
Kunanamna tunachezewa cheku na wajanja...
Kilo ya sukar 3200, sio dialysis tu Zanzibar matibabu ni Bure hospital za serikali hulipi hata senti 5 labda dawa ziwe zimeisha utaombwa kwenda kununua ama pengine kipimo kimezingua utaombwa kwenda kufanya private ulete majibu japo mara chache sana, na hii issue ilianza Toka utawala wa Mohd Shein kwahili wanastahili pongezi sana
 
Kwanini Tanganyika itawaliwe na asiye mtanganyika!
Ingetawaliwa na mtanganyika ndio gharama za dialysis zingefika 300,000/-,heri mama mwenye huruma tuliyenaye! Pia zanzibar viwatu vyake ni million na ushee, huku bara Tupo 63+mil,
#Mwenye tatizo hili anaweza kwenda zanzibar kujiponya?
 
Kule aise,wapo sayari nyingine.
Hawataki shida,wanajua wabongo mlivyo na akili fyatu.
Angalia hata chaguzi zao na Katiba Yao.
Furu malidhiano,huku ni panga Kwa Sime.

Wale hawatakagi mifarakano,japo bara mlijitahidi kwenda kuwavuruga ila wakawashtukia mapema Sana.
Wana Umoja wa kimyakimya.

Wana maisha mazuri kinyama,ni kama Nchi ya kifalume.
Siasa za maji taka za bara kidogo ziote kule,ila wakashtuka.
Ndo maana hawataki kuchangamanna na Watanganyika kule,bali wao ndo waje bara.
Pia muungano,bara mnafoji,ila Kwa vile kwao ni faida acha watulie ila jamaa wanakula kama ndege aise.😜.
Tutaendelea kuwalisha na kuwapa ajira huku bara mpaka mje mjitambue sio Leo Wala kesho😄😄😄
 
Z
Huduma yoyote ya afya unayolipia ww ukiwa bara kwa upande wa Zanzibar ni bure kabisa.
Ni kweli na ni sawa kabisa ukizingatia haya

Hawana gharama za Ulinzi, mambo ya ndani, nje na Muungano.
Zanzibar hawana gharama za Wabunge, Polisi, Uhamiaji, Jeshi na Wafanyakazi wa Muungano

Zanzibar wanapewa 9% ya Bajeti ya Muungano. Piga hesabu ujue ni kiasi gani.
Bajeti yao ni 2.8T na Pesa kutoka Tanganyika ni zaidi ya 3T. Yaani wanapewa kuliko wanachozalisha wenyewe

Zanzibar hawana gharama za madeni ya nje wanayokopa, yanalipwa na Tanganyika kwa jina la Tanzania.

Zanzibar hawalipi hata bili za umeme. Tanesco imefuta Bilioni 60 , pesa nyingi kuliko makusanyo ya ZRA kwa mwezi

Fikiri hivi, kwa mujibu wa ZRA , Zanzibar walikusanya bilioni 288 kwa miezi 5 kwa wastani wa Bilioni 58 kwa Mwezi
Hizo ni pesa za kuendesha SMZ ikiwemo mishahara n.k.. Jiulize ile miradi ya Matrilioni wanalipaje?

Watu Milioni 2 ambao milioni 1 wanaishi bara wanashindwaje kuishi peponi kwa hayo hapo juu!

Ukimuona Mzanzibar anafanya kazi ni hobby tu, wana uwezo wa kukaa nyumbani na kulipwa mishahara.
Si unaona Wazee wanalipwa pensheni na sasa Mashekha nao wanaandaliwa.

Hiyo dialysis inawashindaje! Ningeshangaa kama wasingewez
 
Zanzibar Uislam mwingi sana,na uislam siku zote unajari maslahi ya watu mbele bila kuangalia faida,uislam ni dini Njema sana na wengi WASIO waislam wanatambua Hilo,sema basi tuh ubishi.
Hivi kwa nini Waislam wengi hasa wanaume huwa wananuka midomo
 
Huyu hayupo Tanzania huyu ndiyo maana ama hoji, watanzania bara waliopo Tanzania hata kuhoji hawawezi. Acha tuendelee kusoma namba upo siku tuta elewa tuu kuwa mzigo wa umasikini ndani ya hii inchi sababu kubwa ni aina ya viongozi 'na chama tulicho nacho madarakani miaka nenda rudi.
Watanganyika walio kwenye nafasi za maamuzi hawathubutu kuhoji huu uovu kwa sababu 2..
1). Kulinda matumbo yao.
2). Kukosa uzalendo wa kweli kwa nchi yao.

Tatizo lingine ni kuwa baadhi ya nyadhifa muhimu za maamuzi Tanganyika zimekaliwa na hao hao Wazanzibari!

Hakika mh. Njelu Kasaka (RiP) na kundi lake waliona mbali sana
 
Kule aise,wapo sayari nyingine.
Hawataki shida,wanajua wabongo mlivyo na akili fyatu.
Angalia hata chaguzi zao na Katiba Yao.
Furu malidhiano,huku ni panga Kwa Sime.

Wale hawatakagi mifarakano,japo bara mlijitahidi kwenda kuwavuruga ila wakawashtukia mapema Sana.
Wana Umoja wa kimyakimya.

Wana maisha mazuri kinyama,ni kama Nchi ya kifalume.
Siasa za maji taka za bara kidogo ziote kule,ila wakashtuka.
Ndo maana hawataki kuchangamanna na Watanganyika kule,bali wao ndo waje bara.
Pia muungano,bara mnafoji,ila Kwa vile kwao ni faida acha watulie ila jamaa wanakula kama ndege aise.😜.
Tutaendelea kuwalisha na kuwapa ajira huku bara mpaka mje mjitambue sio Leo Wala kesho😄😄😄
Hapo kwenye " Wana maisha mazuri" endelea kujidanganya.
 
Back
Top Bottom