Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
C.U.F bado ipo ngangari, watanzania wa kundi tuliochoshwa na uhuni wa CHADEMA na rushwa ndani ya C.C.M tunaliona hilo.C.U.F wasiyumbishwe hata kidogo na CHADEMA.Hata UKAWA ikavunjika Lipumba anzisha UKAWA nyingine itakayojumuisha ACT na vyama vitakavyobaki baada ya kuondoka mamluki CHADEMA.Pia tunajua kuwa kupitia ungangari wa C.U.F Zanzibar vyama vilivyomo katika muungano vitajitanua na CDM itazidi kupotea.
Mnaxhani CUF ikishajitoa huko vyama vingine vya upinzani vitawaamini?Ukiangalia kwa umakini na ukweli CUF wamerudi nyuma sanasana,hawafanyi hata jitihada za kukiendeleza chama chao.Tunaweza kuwalaumu CDM lakini nikiangalia kwa umakini beneficiaries of UKAWA ni CUF na NCCR,wako nyuma kwenye kuviendeleza vyama vyao