mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Kama kweli CUF ni chama makini,kwanini kina mbunge wa kuchaguliwa mmoja tu huku bara?
Tena mbunge mwenyewe ni albino aliyepata kura kwa huruma ya wakazi wa Lindi mjini. Swali langu ni -
Kama CUF wanajisifia kwa kufanya vizuri kwenye midaharo mbona hawana wabunge wa kuchaguliwa huku bara
zaidi ya huyu mmoja aliyepata ubunge kwa huruma ya wananchi wa Lindi mjini?
Tena mbunge mwenyewe ni albino aliyepata kura kwa huruma ya wakazi wa Lindi mjini. Swali langu ni -
Kama CUF wanajisifia kwa kufanya vizuri kwenye midaharo mbona hawana wabunge wa kuchaguliwa huku bara
zaidi ya huyu mmoja aliyepata ubunge kwa huruma ya wananchi wa Lindi mjini?