Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Wanadhihirisha jinsi gani wanachuki na uislam na kama waislam wote wangesapoti sensa basi cdm na wapambe wao pia wangeipinga sensa haina haja kuumiza kichwa waislam wanaijua cdm vizuri na malengo yao wanayajua'tusubiri 2015 jibu litapatikana kama wao wanaweza kuingia ikulu kwa kura zao tu'
Waislamu wengi sana wame kubali kuhesabiwa....
Tena wengi sana ni wastaarabu kupita maelezo.
Ila wenye upungufu wa akili tu ndo wamekataa kuhesabiwa,kwa muda.
(nasema kwa mda coz watake wasitake wata hesabiwa tu,tatizo ni mda).