Mbona mlipinga matokeo ya uchaguzi wa rais, halafu mkayakubali matokeo ya ubunge na udiwani.
Naye Sheikh Mkuu wa mkoa wa DSM Aladi Mussa alisema.....wanaopinga sensa ni wtu wasio na Adabu kabisa...Nimefurahishwa sana na kiongozi huyu wa waislam wote mkoa wa DSM.Huyu ni kijana msomi wa kiislam aliyebobea kwenye dini yake.