Mkuu usijinasibishe na uzungu huo ni utumwa wa akili, Afrika ilipoingiliwa kiutamaduni ndipo ilipobakwa na kunajisiwa na kupoteza ama kuharibu asile yake, tatizo la ushoga ni sehemu muhimu sana kwa wazungu, nakupa darsa mkuu nenda katika kabila lolote Tanzania omba tafsiri ya maneno haya Lesbian, Gay, Homesexual, Pornography, Masturbation, kama utapa maana, lakini hao wazungu ndio wametuleta.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.