Elba
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 382
- 104
Wakuu, nimejaribu kufuatilia viongozi wa CCM na wafuasi wa CCM kwenye mitandao. Lakini sijaona hata mmoja akionyesha kufurahia Ushindi wa Kesi dhidi ya aliyekuwa mbunge wa Arusha Mjini Ndugu Godbless Lema. Hii inaashiria nini kisiasa? Ama ndiyo wameshakata tamaa na siasa za Arusha? Au tunaweza kuuita ushindi huu "ushindi wa machungu..."