- Thread starter
- #41
Huyu bibie anaeshinda kwenye pono simuwezi anaweza taka staili ya toroli nikashindwa lol!ha haaaaaaaaaaa, umeamua kujiadhari kabla ya kudhalilika? hapo kuna hatari ya 2 bila............
Huyu bibie anaeshinda kwenye pono simuwezi anaweza taka staili ya toroli nikashindwa lol!ha haaaaaaaaaaa, umeamua kujiadhari kabla ya kudhalilika? hapo kuna hatari ya 2 bila............
da..,lizzy we shabiki!!
Si kumwaga mistari...Nini.......
Si kumwaga mistari...
Wa kutongoza uwe wewe wa kuanza kukuPM niwe mimi?
Hi Lizzy!samahani lakini.Hivi unaweza shawishiwa na mtu kwa mistari?binafsi mistari has very litlle to do withswitching me on.Si kumwaga mistari...
Baada ya kuwasikia Not Enough,Kokudo na Gbollin kama mdau wa jukwaa hili napendekeza wote wenye malalamiko kuhusu jukwaa letu au wadau wa jukwaa hili wawe wamewakilisha madai yao kabla ya mwisho wa wiki hii ili wiki ijayo tuanze na mambo mapya na wenye madukuduku moyoni wawe wametatuliwa malalamiko yao.
Kwenye thread hii inaruhusiwa ku-chat,salimiana, na kutongozana.
Kwenye signature yako hutaki maua kuletewa kaburini unataka upewe sasa haya pokea :A S-rose::A S-rose::A S-rose:hahahaaaaaaa uwiiiiiiiiiiiiii mbavu zangu mieeeeeeee
ha haaaaaaaaaaa, umeamua kujiadhari kabla ya kudhalilika? hapo kuna hatari ya 2 bila............
Marhabaa,kwa picha hiyo hupati mtu hapa lol! tulimshauri Kakakiiza akabadili picha sasa hivi mambo yake safi,nawe badili uone kazi.Shikamoo Kaka. Ninapotaka mimi ni hapo tu X 2
Hapa si tunaonana kimaandishi ?Hi Lizzy!samahani lakini.Hivi unaweza shawishiwa na mtu kwa mistari?binafsi mistari has very litlle to do withswitching me on.
Mama watoto mtarajiwa nataraji u mzima mi niko bien.
Aka!Kama ndo hivyo tafuta mwingine mi nataka kusikiliza tu na kung'ata kucha zangu!Kukaziana macho staki!Lizzy siku hizi tunatongozana...:A S 13:
Hi Lizzy!samahani lakini.Hivi unaweza shawishiwa na mtu kwa mistari?binafsi mistari has very litlle to do withswitching me on.
Na nani tena ?Mmh dearest mi mzima lakini....unataka nifunguliwe kesi?
Si baba mchungaji!Bado ni mume halali......Na nani tena ?
Duh! Liz kama hujaelewa somo miezi mitatu mizima naomba kukaa pembeni,endelea tu na 'mume halali'.Si baba mchungaji!Bado ni mume halali......