Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,331
- 33,142
Ninavyo juwa MimiAsali huwezi kumpa mtoto wa chini ya miaka 2 inaweza kumdhuru ukifahamisha ufahamishe vizuri kaka Mshana jrNi kweli kabisa kaka ila sidhani kama kuna mzazi/mlezi anaweza kumpatia tu mtoto kabla ya kuuliza vema na kupata ufafanuzi kama nilivyofanya kwa wengine wengi
Naamini hujanikwaza kwakuwa lengo letu sote ni moja KUJENGA