Kwa wasichana tu plzzzzzzzzz

Cheka bibie maisha yenyewe nusu ya robo! JK keshaharibu kila upande!
Ole wako ujiue sijui nini, nitakusaka na AshaDii, Sweetlady na Nyamayao tuicharaze fimbo maiti yako hadi itie akili!
hahaaaaaaaaaaaaaaaaa hajiui mtu hapa atajiua yy aniache mm hapa duniani nakuala miraha
 
unajisikiaje mvulana wako anakuambia kua siwezi kukupigania hata siku moja....... kwanini nife kwasababu yako wakati wasichana wako kibao...hapo kuna love kweli

Kwa Wasichana au Wanawake au Wadada Tu? Any way napita tu kuna mdada wa JF Kaniomba lift:
superman700cropped.jpg
 
Back
Top Bottom