Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,674
pole yamekukuta ama? watu wanachezea bahati adimu kama hizi.
karibu kwangu Aminata
Ili umuongezee maumivu au??
pole yamekukuta ama? watu wanachezea bahati adimu kama hizi.
karibu kwangu Aminata
Let love fight for u
that's the spirit...
Let love fight for u
that's the spirit...
umeonaeeeeeee
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa u made ma day girl
Manaake hawa nao hawakawii, wakiona msichana kalizwa au ana matatizo....basi ndo wanatake advantage!
Sasa na yeye kinachomzuia ku-take advantage nae ni nini? Hahaha! Mwaka huu!
hahaaaaaaaaaaaaaaaaa hajiui mtu hapa atajiua yy aniache mm hapa duniani nakuala mirahaCheka bibie maisha yenyewe nusu ya robo! JK keshaharibu kila upande!
Ole wako ujiue sijui nini, nitakusaka na AshaDii, Sweetlady na Nyamayao tuicharaze fimbo maiti yako hadi itie akili!
unajisikiaje mvulana wako anakuambia kua siwezi kukupigania hata siku moja....... kwanini nife kwasababu yako wakati wasichana wako kibao...hapo kuna love kweli
na ku feel konnie!mapenzi ni magumu mno
kama huna moyo wa chuma bora kukaa nayo pembeni
unayemfeel sana, wala yeye anakuona kawaida mno. Sijajua kwa nini
unajisikiaje mvulana wako anakuambia kua siwezi kukupigania hata siku moja....... kwanini nife kwasababu yako wakati wasichana wako kibao...hapo kuna love kweli
na ku feel konnie!
( na assume we ni She)!
na ku feel konnie!
( na assume we ni She)!