Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
khaa! hahaaaaaaaaaaaaa kipipi mi hoi huku
Hahahah......can't spear your ribs! Ngoja nikuletee glucose kwanza lol!!
khaa! hahaaaaaaaaaaaaa kipipi mi hoi huku
Kuna mwanamke unaweza kumpigania lakini ukaishia kumegewa at the end anakudharau
unajisikiaje mvulana wako anakuambia kua siwezi kukupigania hata siku moja....... kwanini nife kwasababu yako wakati wasichana wako kibao...hapo kuna love kweli
ilo liko wazi ............ila sio mzuka kumwambia mwenzio live eti cwez kukupigania hata siku moja wanawake wako kibao mm sinitaonekana chizi kukuganda ww tu
Kwa Wasichana au Wanawake au Wadada Tu? Any way napita tu kuna mdada wa JF Kaniomba lift:
Ha ha hahaha si unitaje tuuuuuuu
Afu wewe dogo, nani kakuruhusu kuvuta bhange yangu? Ntakusemea kwa dingi!
Lakini tukija kwa upande wa pili.......kama wewe ndie ulieanza kuyakosea thamani mahusiano yenu, basi sio mbaya kama kampata m-bora ambaye anaona thamani yake ni kubwa kuliko wewe!! So, kukwambia hivyo....anaona ni bora akampiganie huyo mwingine kuliko wewe usiejua kuthaminisha!!!
unajisikiaje mvulana wako anakuambia kua siwezi kukupigania hata siku moja....... kwanini nife kwasababu yako wakati wasichana wako kibao...hapo kuna love kweli
rushwaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!he he he
she mwenye kimkia?
Mapenzi ni pasua kichwa...
Hata mie ntakufeel ukinletea senene debe 1
rushwaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
immature minds speak shits like that......ila pia we dont suppose to fight for a love....we simply make love ,give love ,receive love n.k ,we dont fight for for it labda kwenye tamthilia tu na movie.unajisikiaje mvulana wako anakuambia kua siwezi kukupigania hata siku moja....... kwanini nife kwasababu yako wakati wasichana wako kibao...hapo kuna love kweli
unajisikiaje mvulana wako anakuambia kua siwezi kukupigania hata siku moja....... kwanini nife kwasababu yako wakati wasichana wako kibao...hapo kuna love kweli