Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeonaeeeeeeh!
hapo hakuna mapenz ya kweli hata kidogo
yani acha tu mana ni machungu makali sana unampenda mtu saaaaaaaaaaana alafu yy halioni hilo...........hajui kumvalue mwanamke hata ni nini maana yakeUnaweza ulie ujue, tena utamkuta anakwambia, una uhuru wa kuamua kuendelea na mm au la sbb, sitakuwa tayari kubare your problems.
yani shoga we acha tu............mana ni zaidi ya zarau
Hapo hakuna love zaidi ya dharau!kwan angekaa kimya tu bila kusema kitu ingekuaje!hiyo dharau!
na akutukanaye haikuchagulii tusi mpz
Yani inabidi unaugulia ndani kwa ndan na kuanza kucheki kwenye waiting list nani anaeleweka then unamfanyia sapraz na kumpika chini jamaa na kusongesha na anayeeleweka,maana inauma sn ushajitoa kwa ajili ya mtu alafu anakujia na kauli za dharau km ivo!
Ndugu yangu, kuchokwa kubaya!!!
umenifurahisha sana mpz na waiting list inabidi nikaangalie huko kwa sasa na kumpa mtu bonge la saprazYani inabidi unaugulia ndani kwa ndan na kuanza kucheki kwenye waiting list nani anaeleweka then unamfanyia sapraz na kumpika chini jamaa na kusongesha na anayeeleweka,maana inauma sn ushajitoa kwa ajili ya mtu alafu anakujia na kauli za dharau km ivo!
nimekusoma mkuu ila inauma
yani acha tu mana ni machungu makali sana unampenda mtu saaaaaaaaaaana alafu yy halioni hilo...........hajui kumvalue mwanamke hata ni nini maana yake
Na ukute hapo anavinjari na mwengine siku nyiingi, anakuwa ankusanifu tu. Na anakuwa amekuchoka kweli kweli.
Dawa ni kusepa tu, na kuangalia ustaarabu mwingine.
Dada ww acha tu!cjui kwann wanaigiza kupenda ile hali moyon hamna kitu!ndio maana mapnz ya kweli yamebaki msamiati mgumu!