Kwa wanawake tu

Mfano ndo umeanza uhusiano na mWANAUME, siku yakwanza mmenda kwa ajili ya kuNGONOKA mmeingia chumbani HUYO, anatoa HIV rapid test utafanyaje hapo
SEMENI KWELI
Mbona rahisi tu kwanza nimweleze anachotaka kukifanya si sahihi,ile sio sehemu wala wakati muafaka wa kupimana,

Then ataanza yeye kujipima na nione majibu,then nitapima na mie,then nitatoa tamko,
Kwamba pale hakifanyiki kingine zaidi ya tulichofanya na naondoka zangu ili siku nyingine ajue kutofautisha muda na matukio,

Hiyo ni tabia ya watu waliokuwa hawajitambui asa amepima kwa kulazimishwa na bahati akakuta hajaathirika ndio wanakuwaga na viwewe km hivo.
 
Kusema Kweli ngono salama ipo really straining.. Use of rubber sababu ya malengo ya kuzuia HIV/AIDS ni muhimu saana but inaboa... Kama kweli Kid sis kuna Mwanaume anakua na hicho kipimo, naona it is for the best, mkisha pimana.... No LIMITATIONS.... Raha mwajipa wenyewe! Hivo nitapima Asap on the condition nae pia anapima...:nerd:
 
We si ndo mtafutaji? Nambie unamtaka nani mi ntakugea status yake...

Haya twende kazi!
Mmmh babu hapa naweza kuingia choo cha ke! mwingine utamchagua atakufanya kidumu kumbe ana wake wa kufa na kuzikana, Kama alivyofanywa kidumu nitonye kwa naniliuuuu! alafu yeye ndio kafa kaoza.
 
Wifi kipenzi, usisahau rapid test haiwezi kutambua maambukizi ya chini ya miezi 3. Kupima leo haimaanishi huna virusi. Kipimo precise ni ELISA na ni process ndefu na ghali.
Alijisemea Hon Mwinyi, ugonjwa uko pabaya! Discipline ya hali ya juu ya kutumia latex, or else weka kizibio kwenye naniliu. Otherwise wifi ntakupa password yangu nikifa uniwakilishe.
Kusema Kweli ngono salama ipo really straining.. Use of rubber sababu ya malengo ya kuzuia HIV/AIDS ni muhimu saana but inaboa... Kama kweli Kid sis kuna Mwanaume anakua na hicho kipimo, naona it is for the best, mkisha pimana.... No LIMITATIONS.... Raha mwajipa wenyewe! Hivo nitapima Asap on the condition nae pia anapima...:nerd:
 
Kusema Kweli ngono salama ipo really straining.. Use of rubber sababu ya malengo ya kuzuia HIV/AIDS ni muhimu saana but inaboa... Kama kweli Kid sis kuna Mwanaume anakua na hicho kipimo, naona it is for the best, mkisha pimana.... No LIMITATIONS.... Raha mwajipa wenyewe! Hivo nitapima Asap on the condition nae pia anapima...:nerd:
Shem usisahau haka kagonjwa nako kana "probation period" ya miezi mitatu....Ohooo! Stuka!
 
Wifi kipenzi, usisahau rapid test haiwezi kutambua maambukizi ya chini ya miezi 3. Kupima leo haimaanishi huna virusi. Kipimo precise ni ELISA na ni process ndefu na ghali.
Alijisemea Hon Mwinyi, ugonjwa uko pabaya! Discipline ya hali ya juu ya kutumia latex, or else weka kizibio kwenye naniliu. Otherwise wifi ntakupa password yangu nikifa uniwakilishe.


hahahaha.... Kizibo nimeweka Wifi.... Usiwe na wasi! Ndio maana siku zoote nauliza ukiwa umeolewa huruhusiwi kua Sister when ever kakako hayupo? lol
 
Nakimbia shem,

Nshaona umeazima AK47....

Umri bado unaniruhusu bana.


Usiogope... Kwani kwa mda mfupi huu ushafanya makosa gani? (take note bado sijakagua post zako humu kama zahitaji adhabu) lol Maana heading ni WANAWAKE Tu!
 
Shem usisahau haka kagonjwa nako kana "probation period" ya miezi mitatu....Ohooo! Stuka!


Shem think... think! Hii habari unafikiri wangapi wanaijua ila hawaizingatii? Hivi number ya waathirika inazidi ama inapungua as time goes on?
 
Back
Top Bottom