Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Orayt... fanya fanya hima, leo ntataka ile ya "Rais Mapumzikoni". Ile ndo inatufaa sie kizazi cha Break Dance kwa sasa.@aspirin na nitonye
Mnafanya nini huku
Ngoja kungwi aje awatoe.
Babu usihofu, kigori wako yuko fit kabisa.
Anaweza ruka kichura chura usiku kucha.
Eish... Sasa ulifikiri kigori wangu ni dume? Kwamba mi nakula mashoga siyo? Ntake radhi afu mtake radhi na shemejiyo.Leo ndio nimeamini rasmi kuwa Kongosho ni KE!