Alopitia wanawake 10... ana miaka ngapi vile?? (sorry nitafuta post baada ya kujibiwa)
mimi singekuwepo kwenye huo mkumbo....
kumbe wanaume tu mi sikusoma vizuri sorry!
wanaume kwa uongo? ndo hapomnanikera wanawake 50 inawezekana kweli
Hebu nipe jibu sasa hivi, unadhani ni wanaume wenzio wangapi leo hii vitendea kazi vyao vingekuwa havipo? Je na wewe ungekuwa kwenye huo mkumbo wa kupotelewa na hiyo kitu?
Jiulize halafu nijibu!
mimi singekuwepo kwenye huo mkumbo....
Hebu jiulize kwamba leo Mungu anaamua kutoa adhabu kwa kila mwanaume ambaye ktk masuala ya mapenzi-iwe ameoa au bado yupo yupo-ameshawapitia wanawake zaidi ya 10 tangu alipoanza kuwajua wanawake.
Kwamba kwa kila mwanaume ambaye amepita hiyo 'benchmark' ya kuwa ameshafanya mapenzi na wanawake zaidi ya 10 ktk maisha yake, basi 'kitendea kazi' chake kitapotea mara moja na pale mahali patabaki 'flat'. Hebu nipe jibu sasa hivi, unadhani ni wanaume wenzio wangapi leo hii vitendea kazi vyao vingekuwa havipo? Je na wewe ungekuwa kwenye huo mkumbo wa kupotelewa na hiyo kitu?
Jiulize halafu nijibu!
mhhh na hiyo sheria ikitumiwa kwa wanawake ndo utashangaaa lol.....
habaki mtu,above 30....lol