Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 6,843
- 12,612
" Uume mkubwa Ni mzuri tu kwa kuutazama ila sio salama kwa matumizi"
Hapo juu ni kauli ambayo nimekuwa nikiisikia kwa wanawake mbali mbali kwamba wao hufurahia tuu kuangalia uume mkubwa wa mwanaume (kuanzia inchi 7 Hadi 12) ila huwa hawapendi kufanya nao mapenzi kwa sababu unawaumiza.
Tafiti zinasema kina/ depth ya uke wa mwanamke Ni takribani cm 10 na Wala sio zaidi ya hapo. Kwa hiyo mwanaume aliyejaaliwa uume mrefu( tango) unaozidi inchi 10 Mara humuumiza mwanamke anapofanya mapenzi naye.Ndio maana wapo wanaume ambao wameweka ring kwenye uume wao kwa lengo la kutowaumiza wanawake wao wakati wa sex.
Nakumbuka wakati fulani katika mtaa mmoja huko kwetu alikuwepo mwanamke mmoja ambaye alikuwa amewadharau wanaume wote wa hapo mtaani kwamba Hakuna mwanaume anayeweza kumridhisha kingono.Sasa akatokea jamaa mmoja anasema waende lodging ili amprove wrong.
Aisee huyo mwanamke alipelekewa Moto wa kiwango Cha pro max mpaka akaomba poo! Jamaa alikuwa amejaaliwa muhogo wa chang'ombe na alimkunja huyo mwanamama Kweli Kweli. Mwanamke mwenyewe alikuja kutoa ushuhuda na akaapa kutokutana tena kimwili na huyo jamaa.
Sasa nyie wanaume mliojaaliwa mirija mirefu muwe mnawafanya Hawa viumbe kwa tahadhari kubwa Sana ili msiwe mnawaumiza. Ukimwona mwanamke analalamika na kulia ujue unamuumiza bana.
Let us practice safe sex.
Hapo juu ni kauli ambayo nimekuwa nikiisikia kwa wanawake mbali mbali kwamba wao hufurahia tuu kuangalia uume mkubwa wa mwanaume (kuanzia inchi 7 Hadi 12) ila huwa hawapendi kufanya nao mapenzi kwa sababu unawaumiza.
Tafiti zinasema kina/ depth ya uke wa mwanamke Ni takribani cm 10 na Wala sio zaidi ya hapo. Kwa hiyo mwanaume aliyejaaliwa uume mrefu( tango) unaozidi inchi 10 Mara humuumiza mwanamke anapofanya mapenzi naye.Ndio maana wapo wanaume ambao wameweka ring kwenye uume wao kwa lengo la kutowaumiza wanawake wao wakati wa sex.
Nakumbuka wakati fulani katika mtaa mmoja huko kwetu alikuwepo mwanamke mmoja ambaye alikuwa amewadharau wanaume wote wa hapo mtaani kwamba Hakuna mwanaume anayeweza kumridhisha kingono.Sasa akatokea jamaa mmoja anasema waende lodging ili amprove wrong.
Aisee huyo mwanamke alipelekewa Moto wa kiwango Cha pro max mpaka akaomba poo! Jamaa alikuwa amejaaliwa muhogo wa chang'ombe na alimkunja huyo mwanamama Kweli Kweli. Mwanamke mwenyewe alikuja kutoa ushuhuda na akaapa kutokutana tena kimwili na huyo jamaa.
Sasa nyie wanaume mliojaaliwa mirija mirefu muwe mnawafanya Hawa viumbe kwa tahadhari kubwa Sana ili msiwe mnawaumiza. Ukimwona mwanamke analalamika na kulia ujue unamuumiza bana.
Let us practice safe sex.