JICHO LA 3
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 356
- 62
kwa hii tu ni me
uaminifu utachukua nafasi yake hadi raha.
uaminifu utachukua nafasi yake hadi raha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanaume kwa uongo? ndo hapomnanikera wanawake 50 inawezekana kweli
Kwa hiyo chako kingekuwepo au kingesalimika??mimi singekuwepo kwenye huo mkumbo....
mimi singekuwepo kwenye huo mkumbo....
Unatesa na dada poa nini?Unajua hii sio sifa wala nini ni ujana tu, na sio vizuri sana kusema hadharani ila mimi kwa haraka haraka nimeshalala na wanawake wanaozidi 400.
Bebii una umri gani?wanaume kwa uongo? ndo hapomnanikera wanawake 50 inawezekana kweli
Hebu jiulize kwamba leo Mungu anaamua kutoa adhabu kwa kila mwanaume ambaye ktk masuala ya mapenzi-iwe ameoa au bado yupo yupo-ameshawapitia wanawake zaidi ya 10 tangu alipoanza kuwajua wanawake.
Kwamba kwa kila mwanaume ambaye amepita hiyo 'benchmark' ya kuwa ameshafanya mapenzi na wanawake zaidi ya 10 ktk maisha yake, basi 'kitendea kazi' chake kitapotea mara moja na pale mahali patabaki 'flat'. Hebu nipe jibu sasa hivi, unadhani ni wanaume wenzio wangapi leo hii vitendea kazi vyao vingekuwa havipo? Je na wewe ungekuwa kwenye huo mkumbo wa kupotelewa na hiyo kitu?
Jiulize halafu nijibu!
wanaume kwa uongo? ndo hapomnanikera wanawake 50 inawezekana kweli
Bebii una umri gani?
Hebu jiulize kwamba leo Mungu anaamua kutoa adhabu kwa kila mwanaume ambaye ktk masuala ya mapenzi-iwe ameoa au bado yupo yupo-ameshawapitia wanawake zaidi ya 10 tangu alipoanza kuwajua wanawake.
Kwamba kwa kila mwanaume ambaye amepita hiyo 'benchmark' ya kuwa ameshafanya mapenzi na wanawake zaidi ya 10 ktk maisha yake, basi 'kitendea kazi' chake kitapotea mara moja na pale mahali patabaki 'flat'. Hebu nipe jibu sasa hivi, unadhani ni wanaume wenzio wangapi leo hii vitendea kazi vyao vingekuwa havipo? Je na wewe ungekuwa kwenye huo mkumbo wa kupotelewa na hiyo kitu?
Jiulize halafu nijibu!
Wiki hii Monday to Thursday nimeshapiga watatu, jmosi napiga mwingine. Kwa maisha yangu yote...sina idadiok, so mkuu umeshapita hiyo benchmark, hoongera zako!
Average man, btn 27-40 yrs of age!