Kwa Wanaume tuuuu!

nimesoma thread hii then nikaa nikatafakariiiiiii....nikarudisha akili nyumaaa......yaani kama Mungu anaamua kufanya hii kitu ni halali yangu kuwa flat
 
Hebu jiulize kwamba leo Mungu anaamua kutoa adhabu kwa kila mwanaume ambaye ktk masuala ya mapenzi-iwe ameoa au bado yupo yupo-ameshawapitia wanawake zaidi ya 10 tangu alipoanza kuwajua wanawake.

Kwamba kwa kila mwanaume ambaye amepita hiyo 'benchmark' ya kuwa ameshafanya mapenzi na wanawake zaidi ya 10 ktk maisha yake, basi 'kitendea kazi' chake kitapotea mara moja na pale mahali patabaki 'flat'. Hebu nipe jibu sasa hivi, unadhani ni wanaume wenzio wangapi leo hii vitendea kazi vyao vingekuwa havipo? Je na wewe ungekuwa kwenye huo mkumbo wa kupotelewa na hiyo kitu?

Jiulize halafu nijibu!

Ikifanyika na kwa wanawake basi na uzazi utakwisha maana hamna atakaye baki...
 
kile kitendea kazi kipo ili kitumike. lakini kitumike kwa misingi fulani. nafikiri hata wewe ungekuwa na hali mbaya
 
Du hatari kila mmoja angesikitika wake kwa waume, kwa sababu wangebakia jinsia moja tu ya kike wengine wote wanakuwa hawana jinsia na uzazi ungekomea hapo, mimi nafikiri hata kina mama wangechukia mwishoni, kwa sababu wanaweza fiki hiyo adhabu haiwahusu wanaume ambao wana mahusiano nao lakini mwisho wa siku wangekuja kujua baada ya kuona wenza wao wameadhibiwa na hiyo adhabu yaaani kitendea kazi hakipo.
 
Hebu jiulize kwamba leo Mungu anaamua kutoa adhabu kwa kila mwanaume ambaye ktk masuala ya mapenzi-iwe ameoa au bado yupo yupo-ameshawapitia wanawake zaidi ya 10 tangu alipoanza kuwajua wanawake.

Kwamba kwa kila mwanaume ambaye amepita hiyo 'benchmark' ya kuwa ameshafanya mapenzi na wanawake zaidi ya 10 ktk maisha yake, basi 'kitendea kazi' chake kitapotea mara moja na pale mahali patabaki 'flat'. Hebu nipe jibu sasa hivi, unadhani ni wanaume wenzio wangapi leo hii vitendea kazi vyao vingekuwa havipo? Je na wewe ungekuwa kwenye huo mkumbo wa kupotelewa na hiyo kitu?

Jiulize halafu nijibu!

Kama ingekua hivi, Tungeshakubaliana na Agizo la waziri mkuu wa uingereza muda mrefu sana!
 
Labda tujiulize tu swali la msingi. In average ndani ya mwaka mmoja mwanaume anatembea na wanawake wangapi? Included na one night stand. Ukishapata jibu ndio utajua wanaume ni akina nani!
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Kwanza uliwaza nini kiasi ukaanza kufanya imagination hizo??Embu tuanzie kwako wewe ungekuwa vipi!!!!nahisi badala ya kuwa flat itakuwa imetengeneza depression au kashimo hivi!!!!

we jibu swali kaka, then ndo uniulize.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom