Kwa wanachama na wapenzi wa CCM tu!

Jamani, sasa basi, nimeshawaambieni huko juu mfungeni Topical kamba mumkimbize psychiatry. There is no correlation btn mnachosema na anachosema yeye.

Indicator ya ufanisi wake ni urefu wa thread aliyoanzisha. Akiprint na kupelekea wale wazee wa RA anavuta mkwanja. Kuendelea kumjibu ni kumuongezea ulaji!

Kwa herini
 
CCM looooooooooooohhhhhhh....................... imechangia kwa kiasi kikubwa nchi hiii kuwa maskini.................. naomba wasomi vijana wachukue nchi..........................
 
Jamani, sasa basi, nimeshawaambieni huko juu mfungeni Topical kamba mumkimbize psychiatry. There is no correlation btn mnachosema na anachosema yeye.

Indicator ya ufanisi wake ni urefu wa thread aliyoanzisha. Akiprint na kupelekea wale wazee wa RA anavuta mkwanja. Kuendelea kumjibu ni kumuongezea ulaji!

Kwa herini
Alaa kumbe kuna malipo kama hayo, changamkia basi na wewe usimeze mate bure..lol

Ukishindwa kujibu hoja usikimbilie kwamba tumetumwa lol.
 
Sera ya CCM kwa ujumla wake ni nzuri wananchi wengi wanaikubali, isipokuwa swala linalokera ni utendaji,utekelezaji mbovu wa sera.

Vyama vingine havijaonyesha sera mbadala ila wanachosema ni kwamba ccm kwanini hawatekelezi vema sera zao? e.g. kwanini shule za kata haziboreshwi?, walimu waongezwa n.k kwa hiyo hawana mbadala ila tukitekeleza vizuri sera zetu ..watakuwa hawana hoja!

Ombi langu kwa Mh. Pinda (waziri mkuu) mtekelezaji mkuu wa asera na kazi za serikali .....

Nafikiri mkuu watendaji wakuu wa sera waanze kuangaliwa hasa kwenye mashirika yanayotoa huduma muhimu kwa wananchi waliotuchagua.., mfano mimi naona wafuatao wameshindwa kutekeleza sera za chama waondolewa na chama kupitia serikali ya chama tawala...

1. Wiiliam Ngeleja - wizara imemshinda umeme haupatikani ahadi zimekuwa nyingi utekelezaji zero, ameshindwa kuweka mkakati dhabiti kuendesha wizara..miaka 5 tunaongelea issue moja na ameshindwa kuja na solution..nafikiri ana problem upstairs...

2. William Mhando - Tanesco imemshinda hatuoni nafuu wala mkakati wa kitaalum wa kuboresha shirika huyu mtu ni dhaifu unprofesion

3. David Mattaka - Ameshindwa kutekeleza sera za chama kuhusu usafirishaji, hatuoni mkakati wa kitaalum wa kuboresha shirika hilo huyu mtu amezeeka amepewa kijana mdogo under 40 anaweza kusaidia kuleta mapinduzi

4. Justin Mwandu - Ameshindwa kuboresha shirika la NIC, jamaa huyu ni mwoga na very slow learner, NIC inaweza vipi kushindwa na Heritage insurance?

5. William Erio - Wa PPF, soon wastaafu watamlaani huyu mtu, kila maazimio ya kuongezwa pension hayapeleki serikalini wala hafanyi juhudi za kusaidia wazee wastaafu..

Kuna haja ya wapenzi na wanachama CCM kuwakamia serikali yetu iwaondoe hawa..na wengine wabovu..kwakuwa ni utekelezaji tu unaolalamikiwa wla si sera sera ziko OK.

Kwa sasa na siku zijazo ni vigumu sana kwa CCM kutekeleza jambo lolote kwa ufanisi. Tofauti na siku za huko nyuma ambapo watu wenye akili na uwezo wa kifikra walikuwa ama wanachama au wapenzi au walikuwa karibu na CCM, siku hizi inaonekana ni jambo la aibu sana kwa mtu mwadilifu, mwenye akili, uwezo na utashi ukashabikia CCM. Kadiri siku ziendavyo CCM itabakia kuwa chama cha wanaotafuta kula yao toka huko au mafisadi, na kwa kiasi kidogo wale wenye upeo mdogo, ambao wanaweza kudanganywa kiurahisi na makada wa CCM. Sasa huwezi kutekeleza jambo lolote linalohitaji akili na utashi kwa kutegemea makundi hayo. Maendeleo au ufanisi wowote chini ya CCM ni ndoto, na siku kadiri ziendavyo hili litazidi kujidhihirisha.

Tangu uchaguzi uieshe, robo mwaka umepita, CCM wamefanya nini cha kuleta matumaini? Nothing, completely nothing.
 
We unadhani kazi ya Rais ni kubwatuka hovyo kwa kila linalopita mbele yake? Si kilajambo Rais analisemea.

Sipendi watu mnapojifanya wajinga ilhali ni wapumbavu.

Yako maswala its the president only who can give direction and clear guidance.
Rais anayeona rahisi kuongelea taifa stars kuifunga timu-F toka ivory coast kuliko maswala muhimu anashusha hadhi ya mamlaka ya rais
.
 
asante sana, umeonesha TANESCO kuendeshwa kisiasa ni tatizo ambalo serikali ya CCM inapaswa kubeba lawama......

Suala la wananchi kushindwa kugharamia umeme kweli lipo......je unafikiri solution ni kutokupeleka umeme kwa kuwa hawawezi kugharamia??? Kama mwananchi hawezi,wawekezaji wakifika si watatumia umeme?hospitali na mashule nao si wanahitaji umeme?

Rural electrification inapaswa kuwa funded na kodi tunazolipa,ila kwa kuwa wizi ni mkubwa na hizo politics,sasa ishu inageuka kuwa wananchi hawawezi kugharamia....kazi ipo!!!

Thanks Michelle, rural electrification is a must na kwa sasa kuna Rural Electrification Agency ambayo wananchi wanaichangia kwa kukatwa asilimia 3 kwenye bili ya umeme

Hata hivyo fedha hizi hazitoshi kupeleka umeme kwa wananchi, ni vizuri serikali ikifadhili miradi hii mikubwa ili wananchi walio wengi wafaidike TANESCO iwe msimamizi, ila TANESCO ijiendeshe kibiashara zaidi

Ni uchungu sana mimi nilisamimia mradi mmoja ( sitautaja kwa usalama wangu ) mradi huu uligharimu zaidi ya 6bn kwenda vijiji kama 20 nilisikitika sana ufadhili ulikuwa ni wa TANESCO na waliambulia kuwasha umeme nyumba 3 tu labda kama ss wanakijiji wengine wamewasha umeme! Hapo transformer inazunguka kapa..

Mradi kama wa Somanga..huu umefungwa capacitor bank kwani megawatt 8 zinazozalishwa pale ni zaidi ya matumizi ya wakaazi wa pale...( Wao wanahitaji km 2MW) hivyo ziada inaunguzwa...

CCM inalazimisha miradi isiyo na tija kwaajili ya kura, tatizo si Mhando topical..tatizo ni CCM!

Acheni wahandisi waendeshe shirika kitaalam jamani
 
Wewe hujaelewa!..Hatuwaondoi wale kwasababu ya create naafasi za kazi la! kwasbabu wana underperfom

Kwakuwa wana underperfom inawezekana tukiweka watu wanao perfom tunaweza kuongeza ajira kadhaa!

Nimesema ukosfu wa ajira ni global issue..hakuna nchi imeajiri watu wake wote full employment? ni challenge ya kawaida kwenye siasa so the issue of proportinality comes in!

Proportionality ni nini Topical?? Na je kama ajira ni challenge ya kawaida katika siasa,nikimaanisha formal employment,serikali imewasaidiaje hao wasio na ajira kumudu maisha,lets say kwenye ujasiriamali,kilimo,masoko ya mazao,imewasaidiaje??? sera nzuri za CCM zimefanya nini kupunguza proportionality(challenge ya kawaida ya kisiasa) ya wasio na ajira?mazingira ya kujiendeleza kibiashara yanaridhisha,sera za kilimo zinamsaidia maskini kumudu gharama za kawaida za maisha??mnaichukulia kama challenge ya kawaida ya kisiasa.......:twitch::A S thumbs_down:
 
Only ballot box speaks mkuu..

However, je hao wengine mna sera mbadala kuhusu chakula kwa wote...au mnaimba tuachie uongozi wakati wananchi hawaoni mnachosema cha maana zaidi ya Doawans..ambayo hata mimi naona tuwaondoe mhando na ngeleja?

Maana huku kwetu kuna kilimo kwanza ili kusiwe na njaa miaka ijayo na PM ana deal nalo vema..nyinyi wengine mna sera gani?

Did the ballot Box really Speak?...., Seriously niambie Tanzania ilivyobarikiwa na maziwa makuu matatu, bahari, na nchi yenye rutuba, kwanini ishindwe kulisha Africa Mashariki na Kati?..., Mbaya zaidi ni kwamba maliasili zetu tunazigawa kwa kasi bila kutumia hiyo faida kujega miundombinu.... Wajukuu zetu tutawaacha penniless, bila madini wala chochote watakuwa watumwa.... Kama wewe kazi imekushinda usiogope kwamba mwenzako nae hawezi mpishe nae ajaribu sio unangangania wakati mambo yanakwenda kombo.
 
Thanks Michelle, rural electrification is a must na kwa sasa kuna Rural Electrification Agency ambayo wananchi wanaichangia kwa kukatwa asilimia 3 kwenye bili ya umeme

Hata hivyo fedha hizi hazitoshi kupeleka umeme kwa wananchi, ni vizuri serikali ikifadhili miradi hii mikubwa ili wananchi walio wengi wafaidike TANESCO iwe msimamizi, ila TANESCO ijiendeshe kibiashara zaidi

Ni uchungu sana mimi nilisamimia mradi mmoja ( sitautaja kwa usalama wangu ) mradi huu uligharimu zaidi ya 6bn kwenda vijiji kama 20 nilisikitika sana ufadhili ulikuwa ni wa TANESCO na waliambulia kuwasha umeme nyumba 3 tu labda kama ss wanakijiji wengine wamewasha umeme! Hapo transformer inazunguka kapa..

Mradi kama wa Somanga..huu umefungwa capacitor bank kwani megawatt 8 zinazozalishwa pale ni zaidi ya matumizi ya wakaazi wa pale...( Wao wanahitaji km 2MW) hivyo ziada inaunguzwa...

CCM inalazimisha miradi isiyo na tija kwaajili ya kura, tatizo si Mhando topical..tatizo ni CCM!

Acheni wahandisi waendeshe shirika kitaalam jamani

Nsiande, unazifahamu siasa za gesi ya songosongo utujuze. Kila mwaka nikienda sabasaba natembelea Banda la TPDC. Mwaka jana waliponiona walicheka wakamikaribisha VIP na wanangu. Wana plani yao sasa karibu miaka 5 ya kutumia gesi ya songosongo kupindua kabisa uchumi wa nchi. Wanahitaji pesa pungufu ya zilizotumika RichDowans.
 
Dadangu Michelle hivi bado hujarudisha hiyo kadi ya kijani?
Fanya kama prof. Safari,, toka then kaa bila chama
 
Si kwa wanachama tu kwa watu wote.pinda hawana uwezo wa kukemea wala kuwajibisha.mara nyingi akiulizwa swali gumu yeye jibu lake,serikali imesikia itafanyia kazi.kazi gani tusioiona?ukishajiunga na ccm wewe uwezo wako wa kufikiri umekoma.ukifikiri sana utakiona cha moto.
 
Mkuu hapo umegeneralize, PM kuna mambo mengi amefanya lakini anahitaji wanachama wa ccm kuwa wakali kwa serikali kufanya zaidi...hasa kuangalia mashirika yasiyo perfom

Pinda anachoweza ni kuwapanga wabunge wa CCM ili wakapambane na hoja za kizalendo kutoka CHADEMA! That's all he can do! Ngoja nikupe sababu kwa nini CCM, KWA VYOVYOTE VILE IWAVYO, haiwezi kubadilika:
1. Imekamatwa na wafanyabiashara wenye 'vijisenti' vyao, kwa ajili ya kulinda maslahi yao,
2. Wengi wa viongozi wa CCM ni waovu, wezi, mafisadi, name whatever kind of evil, kwa hiyo hakuna wa kumfunga paka kengele, ukiongea kidogo tu wanakukumbusha na wewe ka-EPA kako, unakaa kimya,
3. Kila kiongozi Mkuu wa CCM (ie Mwenyekiti) huwekwa na mafisadi madarakani, kwa fedha za ufisadi, kwa manufaa yao na vizazi vyao vya kifisadi,
4. Uongozi ndani ya CCM ni wa kujuana kidugu, kidini, kikabila, nk, kwa hiyo si rahisi kukemeana, Just imagine Ridhiwani Kikwete, Januari Makamba, Vita Kawawa, Hussein Mwinyi, etc kafanya kaufisadi kidogo, hebu niambie mtu wa kuwakemea 'wateule' hao ni nani! Theory is far away from practice!
5. CCM yenyewe imewekwa madarakani kwa fedha za ufisadi na wizi wa kura (2005 na 2010), sasa hebu niambie huo ujasiri wa kukemea uovu utatoka wapi?
6....
Kwa ujumla kansa iliyoikumba CCM haiwezi kutibika, tusubiri CCM ielekee kaburini na hatimaye kizaliwe kiumbe kipya, ie Chama kipya chenye kuleta mabadiliko ya kweli!
 
Mnasumbuka bure maana nchi inatawaliwa na waajiliwa wa TISS na kwa kuanzia wote wameshindwa maana hawakuwahikujua ni lipi lifanyike kuisaidia nchi. Walizoea kutuhesabia vizibo vya bia baa, sasa wamepewa nchi hawajui hata kwa nini ni maskini!:drama:
 
Nsiande, unazifahamu siasa za gesi ya songosongo utujuze. Kila mwaka nikienda sabasaba natembelea Banda la TPDC. Mwaka jana waliponiona walicheka wakamikaribisha VIP na wanangu. Wana plani yao sasa karibu miaka 5 ya kutumia gesi ya songosongo kupindua kabisa uchumi wa nchi. Wanahitaji pesa pungufu ya zilizotumika RichDowans.

Songas inauma sana...I participated in its conv writeup! Songas was TANESCO property before..kwasasa wanaiuzia umeme na wanapandisha bei ya gas

Kweli tutaumiza vichwa hapa! Hakuna la maana lolote...

Anyways wacha nisubiri serious generation investors niendelee kuratibu miradi...
 
Thanks Michelle, rural electrification is a must na kwa sasa kuna Rural Electrification Agency ambayo wananchi wanaichangia kwa kukatwa asilimia 3 kwenye bili ya umeme

Hata hivyo fedha hizi hazitoshi kupeleka umeme kwa wananchi, ni vizuri serikali ikifadhili miradi hii mikubwa ili wananchi walio wengi wafaidike TANESCO iwe msimamizi, ila TANESCO ijiendeshe kibiashara zaidi

Ni uchungu sana mimi nilisamimia mradi mmoja ( sitautaja kwa usalama wangu ) mradi huu uligharimu zaidi ya 6bn kwenda vijiji kama 20 nilisikitika sana ufadhili ulikuwa ni wa TANESCO na waliambulia kuwasha umeme nyumba 3 tu labda kama ss wanakijiji wengine wamewasha umeme! Hapo transformer inazunguka kapa..

Mradi kama wa Somanga..huu umefungwa capacitor bank kwani megawatt 8 zinazozalishwa pale ni zaidi ya matumizi ya wakaazi wa pale...( Wao wanahitaji km 2MW) hivyo ziada inaunguzwa...

CCM inalazimisha miradi isiyo na tija kwaajili ya kura, tatizo si Mhando topical..tatizo ni CCM!

Acheni wahandisi waendeshe shirika kitaalam jamani

I salute you madam Engineer,shukrani sana kwa taarifa ya mwanzo na hii......
 
Dadangu Michelle hivi bado hujarudisha hiyo kadi ya kijani?
Fanya kama prof. Safari,, toka then kaa bila chama

Kaka yangu,niko njiani kufanya hivyo........

Nafikiri ni bora kutokuwa na chama kuliko kubaki CCM,am tired na watu ka Topical ndo kabisaaaaaaa,hapatoshi.....lol:laugh:
 
Sera ya CCM kwa ujumla wake ni nzuri wananchi wengi wanaikubali, isipokuwa swala linalokera ni utendaji,utekelezaji mbovu wa sera.

Vyama vingine havijaonyesha sera mbadala ila wanachosema ni kwamba ccm kwanini hawatekelezi vema sera zao? e.g. kwanini shule za kata haziboreshwi?, walimu waongezwa n.k kwa hiyo hawana mbadala ila tukitekeleza vizuri sera zetu ..watakuwa hawana hoja!

Ombi langu kwa Mh. Pinda (waziri mkuu) mtekelezaji mkuu wa asera na kazi za serikali .....

Nafikiri mkuu watendaji wakuu wa sera waanze kuangaliwa hasa kwenye mashirika yanayotoa huduma muhimu kwa wananchi waliotuchagua.., mfano mimi naona wafuatao wameshindwa kutekeleza sera za chama waondolewa na chama kupitia serikali ya chama tawala...

1. Wiiliam Ngeleja - wizara imemshinda umeme haupatikani ahadi zimekuwa nyingi utekelezaji zero, ameshindwa kuweka mkakati dhabiti kuendesha wizara..miaka 5 tunaongelea issue moja na ameshindwa kuja na solution..nafikiri ana problem upstairs...

2. William Mhando - Tanesco imemshinda hatuoni nafuu wala mkakati wa kitaalum wa kuboresha shirika huyu mtu ni dhaifu unprofesion

3. David Mattaka - Ameshindwa kutekeleza sera za chama kuhusu usafirishaji, hatuoni mkakati wa kitaalum wa kuboresha shirika hilo huyu mtu amezeeka amepewa kijana mdogo under 40 anaweza kusaidia kuleta mapinduzi

4. Justin Mwandu - Ameshindwa kuboresha shirika la NIC, jamaa huyu ni mwoga na very slow learner, NIC inaweza vipi kushindwa na Heritage insurance?

5. William Erio - Wa PPF, soon wastaafu watamlaani huyu mtu, kila maazimio ya kuongezwa pension hayapeleki serikalini wala hafanyi juhudi za kusaidia wazee wastaafu..

Kuna haja ya wapenzi na wanachama CCM kuwakamia serikali yetu iwaondoe hawa..na wengine wabovu..kwakuwa ni utekelezaji tu unaolalamikiwa wla si sera sera ziko OK.
Nakubaliana na hoja zako ni msingi ni wapinzani hawana jipya ninalo taka kuongeza chama kiwe makini na viongozi wa chama wanoteuliwa wateuliwe viongozi makini hasa mikoa ya mjini maana viongozi wengine wengi walioteuliwa kipindi hiki walikuwa hawana uchungu na chama
 
Back
Top Bottom