muonamambo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 875
- 545
si utani mzee kazi bure... mzee wa kuvuta fegi kabla hajaingia darasani na so much simple ... chuo kikuu sio choo kila mtu aingie... mimi ni mmoja wa maoganiser waliwaleta azania... kweli enzi hizo chuo kikuu sio choo kila mtu aingie...
Umenikumbusha Mzee Kazibure (RIP), akitoka Kibaha Sec. Kuja ASS kufundisha
Tuition ya Physics! Alidai kuwa alikuwa darsa moja (USA) na mtunzi maarufu wa vitabu vya Physics - Nelkon.