Nakubusu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2022
- 718
- 1,714
Yaan n aibu kwel kwelMawazo mgando haya.
Yaani unajisifia kuwa mchafu?
Yaan n aibu kwel kwelMawazo mgando haya.
Yaani unajisifia kuwa mchafu?
Ndo unachokijua hicho tyuuh. MfyuuuuhTulia wewe.. Unakuta dume zima linanyoa nywele za matakoni sasa unataka nani apakute pasafi uko?
Kwahiyo wewe ukishamaliza kukata gogo, haujisafishi kwa maji Wala toilet paper, unapaacha hivyo hivyo, sababu hauna mtu wa kupakuta pasafi huko Natafuta AjiraTulia wewe.. Unakuta dume zima linanyoa nywele za matakoni sasa unataka nani apakute pasafi uko?
Nywele za matakoni huwa zinatunza mavi km huyanyoi unaweza sababisha kipindupinduTulia wewe.. Unakuta dume zima linanyoa nywele za matakoni sasa unataka nani apakute pasafi uko?
Kwahio ziachwe ili ugundue nn?Tulia wewe.. Unakuta dume zima linanyoa nywele za matakoni sasa unataka nani apakute pasafi uko?
Kumbe waseminari wanaoa.Acheni uchafu kwa Kisingizio cha Uanaume. Tulioolewa na Waseminari hii kitu hawana, yaani kila kitu kimenyooka, ustaarabu kila mahali.
Hapana hawaoi...Kumbe waseminari wanaoa.
HahahahahMwaka Jana nilisafiri masika nkaenda kulima bush, basi nkakaa kama wiki mbili, Ile narudi usiku nimechoka balaa nikajitupa kitandani na viatu nkaanza kuota kama nipo mtoni naskia sauti za vyura, ila Ile sauti ikawa kama inatokea kichwani mwangu, dakika Moja nyingi nkakurupuka Kumbe frog yupo chini ya kitanda.
Yaani wenge lote la usingizi likakata nikawa najiuliza kaingilia wapi au ni wa kutumwa, nikagundua alipitia chini ya mlango palipokuwa na uwazi.
Sasa mawazo yakazidi kuwa kama kaingia chura, nyoka atashindwaje, nikatoka nikaenda lala Kwa mshkaji kesho yake nikafanya famigesheni huwezi amini Ili kuwa kama zoo ya wadudu maana walitoka wengine hata siwafahamu.
Inaonekana wewe ni mchafu Sana.Sifa ya mwanamme wa kweli ni ukiingia kwake ukute kuchafu na vitu viko disorganized.
Ukienda anakokaa mwanamme pekee yake ukakuta ni kusafi na kumepangiliwa vizuri ujue huyo si mwanamme kamili ni mwanamke mwenzio.
HahahhaahahhaahahahHaahahahMnakalilishana ujinga huu na wengine wanaishi na kuishia nao mwisho wa siku unakutwa na lundo la machupa ya maji ya uhai chumbani umeyajaza mikojo na kindoo kimejaa mimavi unaenda kupimwa akili kumbe ulilishwa ujinga
Uchafu.Kuna kijana ukuta wa chumba chake uliachia kwa nyuma usawa wa kitanda kutokana na mvua kunyesha.... mwenyewe alikuwa mihangaikoni......
Yaani kulikuuwa na chupa za mikojo kama zote......aisee kuna watu ni wachafu......
Nyumba imezungushiwa ukuta lakini anaogopa kutoka nje usiku.......
Acha matusi bro mi binafsi tangu mdogo nilikua nafundishwa usafi chumba changu lazima nifanyie usafi nguo situpitupi naweka kwenye utaratibu mzuri, hadi leo hii nimeondoka nyumban bado suala la usafi nazingatia japo sifanyi kila siku lakini vitu vyangu ghetto naweka kwenye mpangilio mzuri na nikiona vimekaa vibaya weekend lazima nifanye usafiSifa ya mwanamme wa kweli ni ukiingia kwake ukute kuchafu na vitu viko disorganized.
Ukienda anakokaa mwanamme pekee yake ukakuta ni kusafi na kumepangiliwa vizuri ujue huyo si mwanamme kamili ni mwanamke mwenzio.
Kumbe nawe unademu?Zile pilika pilika za kuweka vitu kimpangilio kwa kusema kweli zinaleta uvivu sana. Mambo ya kutandika kitanda, kupanga nguo kabatini yamenishinda.... mamsap asipokuja geto acha pabaki ivyo ivyo tu.
malegendaryKuna ghetto niliomba hifadhi, jumla tulikuwa tunaishi watatu. Wenzangu wanaenda kazini saa mbili asubuhi wanatoka saa tisa alasiri. Mimi nilikuwa naondoka saa 12 asubuhi kurudi saa tano usiku na nakuwa nimechoka sana. Sasa ghetto lilikuwa chafu balaa na muda mwingi jamaa wapo tu free wanacheki filamu. Sasa kuna wakati maji ya mvua yaliingia ndani, walichofanya waliweka tofali kuelekea kwenye kitanda. Yale maji yalikaa mule ndani hadi yakakauka likabaki tope tu lililoganda. Hadi naondoka kwenye lile ghetto halikuwahi kufanyiwa usafi.
wachafu Wenzako Watakusupport,acha Uchafu Sio SifaSifa ya mwanamme wa kweli ni ukiingia kwake ukute kuchafu na vitu viko disorganized.
Ukienda anakokaa mwanamme pekee yake ukakuta ni kusafi na kumepangiliwa vizuri ujue huyo si mwanamme kamili ni mwanamke mwenzio.
Chumba!?Nilibahatika kumsindikiza dada mmoja kwake na mizigo yake akiwa amerudi safari. Sasa ile namsaidia kuiingiza vitu ndani, sebuleni nilichokiona ni hatari!
Kweli sisi wanaume ni wachafu ila yule jamaa noma, gamboot na tope zake ndani, soksi juu ya meza, chupa za soda chini ya meza, mabuibui, yaani sio mchezo.
Sasa hapo ni sebuleni, chumbani sijui kulikuwaje! Wanawake mna mchango.