Kwa utafiti huu wallah ntaoa mwanamke mwenye akili nyingi za darasani

Kwa tafiti hii nashawishika kuoa mwanamke mwenye akili nyingi darasani,kumbe watoto hurithi akili kutoka kwa Mama zao.Kama mama ni kilaz*a naye mtoto atakuwa kilaz*a na kama Mama ni kichwa darasani naye mtoto wake atakuwa kichwa darasani kumbe wakina Baba hawachangii chochote kumfanya mtoto awe ana akili

View attachment 422374


NB: POLENI MNAOTAFUTA WANAWAKE WENYE MAKALIO MAKUBWA MIE KUANZIA SASA NATAFUTA MWANAMKE MWENYE AKILI DARASANI ILI WATOTO WETU WAWE GENIUS
Not always the case. Mbona mi nimerithi akili za baba?
 
Mimi huwa naiamini nadharia ya Multiple Intelligence ya Howard Gardner.
Ziko aina tofauti za akili. Mfano:
Number,arts, social,spatial intelligences e.t.c

Sasa usishangae motto in mchoraji mzuri ilhali ukoo wa mama wote hamna mtu anachora; hat a mtu mwenye interest tu hakuna..wakati huo huo unakuta baba au babu wa baba alikuwa mchoraji..

Lesson: kazi ya urutubishaji yai na ukuaji wa mtoto hufanywa na sperm na ovum kwa ushirikiano. Traits can be inherited from either parties.
 
100% True.Kuna lecture mmoja wa chuo kikuu mwanamke aliniambia mtoto wako kuwa na IQ kubwa inachangiwa sana na akili za Mama yake na historia ya Familia unayoa Bibi yake na kwa upande Bibi mzaa Mama.Mwanamke anachangia asilimia kubwa ya IQ ya mtoto.
Sikulijua hili, ngoja niyagute wife wa pili mwenye vigezo hivyo maana huyu niliye nae nahisi nimebugi
mie mkuu nimeshathibitisha hilo wala sipingi kabisaa
 
Ina ukweli japo siyo kwa 100% maana hata mimi nimechukua akili za upande wa mama, lakini pia yupo mkubwa wangu alikuwa mzito darasani kama ukoo wa baba ila ana akili kubwa ya maisha, hadi sasa yupo na maisha mazuri kwenye familia yake. ZIPO AKILI ZA NAMNA NYINGI.
 
mwanamke kuwa na chura na akili si rahisi umkute mwenye vigezo vyote hivyo
Hiyo sifa ya chura ni kawaida..wako wengi wenye chura..na akili...lkn ni wachache wenye uzuri wa sura, chura na akili kwa uchache...
Refer to wahaya na wasukuma na watu wa musoma/mara..wengi wana chura na akili lkn sura za kawaida..
so ni rahisi kumpata mwenye hivyo viwili ...
 
Ni kweli kwa over 100%. Ni declare interest Mimi nimeoa kwa wachaga. Mke wangu ni bright kufaulu kuanzia msingi miaka ile ya secondary za serikali. Kufaulu kijijini peke yake na alipoingia sec kuanzia o level alikimbiza mpaka chuo best student. Kwetu tuna akili ila hatufui dafu kwa wife na kaka zake. Wanangu wote ni historia mpaka Zawadi za taifa walikamata wote. Sasa uje kwenye mambo ya familia na Maendeleo ni hatari. Ukweli unapofikia kuoa kuwa makini ni Nani unataka awe mama wa wanao na kulingana na ndoto ya familia unayotaka.
Hongera...hukudanganyika na uzuri tu..ulijua kuangalia na vya muhimu...
Kazi kwao wanaoangalia makalio na sura huku kichwani hazimo
 
Kwahiyo unataka kuniambia sasahivi issue ya natural selection tupa kule! Haya bana, Darwin anakuona ujue.
hiyo natural mtoto anairithi kutoka kwa mama tu
Hujanisoma mkuu. Mtoto kurithi toka mama ni sawa. Ila hapo kwenye kuchagua mke mwenye akili.....dah!. Unajua kwenye kuoa siyo mbwembwe zako, natural selection inahusika mia mia. We angalia au uliza watu waliokuwa skuli miaka hiyo. Wakati wapo skuli, kuna jamaa walikuwa wanapenda kutembea na mademu wakali, vipotable. Kawatafute leo halafu wakuonyeshe wake zao. Unaweza ukauliza "Andrew ndiyo wewe yuleyuleeee au naota". Halafu Andrew now ana kazi nzuri na pesa ya kutosha tu, of which kibongobongo anauwezo wa kung'oa demu yeyote tu na kumuoa. Lakini angalia mke wake wa leo, halafu linganisha na zile totoz zake kareee enzi za skuli anahonga pocket money yake. Lazima useme "Shikamoo Mzee Darwin". Ila dogo inaonekana we nawe bado uko skuli, hivyo hizi story ninazokupa ni khadithi flani tu. We siku moja chepuka waulize kaka zako wenye miji yao. Au hata dingi yako kama zina-click mwanzo mwisho. Atakwambia tu, alikuwa ana-rock na totoz kareeeee, mama yako tupa kule. See me kwenye wedding yako halafu nitakukumbusha.
 
Watoto wanarithi kwa asilimia kubwa toka mama si kweli kwamba asilimia mia wanarithi toka kwa mama,mimi nina ushahidi mzee mmoja alikuwa na akili balaa na watoto wake karibia wote walikuwa maginius na wana kazi nzuri tu mpaka sasa na kuna mmoja ni Physician(RMO) mkoa mmoja hivi! Na mama yao alisoma shule akafeli akaishia kuwa nesi wa Certificate

Kwa hiyo msigeneralize mambo hata watafiti nao sio kweli kwamba wanakuwa accurate 100% si kweli
 
Watoto wanarithi kwa asilimia kubwa toka mama si kweli kwamba asilimia mia wanarithi toka kwa mama,mimi nina ushahidi mzee mmoja alikuwa na akili balaa na watoto wake karibia wote walikuwa maginius na wana kazi nzuri tu mpaka sasa na kuna mmoja ni Physician(RMO) mkoa mmoja hivi! Na mama yao alisoma shule akafeli akaishia kuwa nesi wa Certificate

Kwa hiyo msigeneralize mambo hata watafiti nao sio kweli kwamba wanakuwa accurate 100% si kweli
utafiti maana yake umeshaprove kwa asilimia kubwa
 
Back
Top Bottom