Ni mtizamo wako tu bado hujatushauri defend your point huo mtizamo wa kinadhariaSiku zote Wanawake wana akili zaidi ya sisi Wanaume, ndio maana wanaidrive hii Dunia.
We ndo fikra zako zimeenda huko.Kwa kuwa utafiti huo ni wa mzungu, sioni anaehoji. Ungetolewa na TWAWEZA, watu povu lingewatoka.
Ukandamizaji wa fikra hautaisha endapo tutaendelea kuamini nyeupe ni amani na nyeusi ni balaa.
ni pmlakii
Sorry nimetumia codes zetu ma genius so ni ngumu kunielewaulichoandika sijakuelewa kabisaa mkuu
Hapo nakuunga mkono,bora akili za biashara kuliko za darasaniDaaaah kama ni hivyo itabidi me nitafute mwanamke mwenye akili yA kifanya biashara ili watoto wangu wawe na akili za biashara tu, kibongo bongo akili za darasani zinaweza zisikutoe wala nn
Hapo nakuunga mkono,bora akili za biashara kuliko za darasani
Daaaah kama ni hivyo itabidi me nitafute mwanamke mwenye akili yA kifanya biashara ili watoto wangu wawe na akili za biashara tu, kibongo bongo akili za darasani zinaweza zisikutoe wala nn
acha ujinga mama boy,uliona wapi mwanamke kagundua kitu chochote duniani?vitu vyote hivi ni wakina isaac newton na wababe wengine au ndo umecomment upate like nyingiSiku zote Wanawake wana akili zaidi ya sisi Wanaume, ndio maana wanaidrive hii Dunia.