dekitambi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2015
- 663
- 760
Mi tolea kitambo hilo nalijua mkuuyap nilikuwa sijui kabisaa
Mi tolea kitambo hilo nalijua mkuuyap nilikuwa sijui kabisaa
Kwani vyuo vikuu hakuna wanawake wenye chura?.hakuna kitu kama hicho mkuu
Wapo mbonamwanamke kuwa na chura na akili si rahisi umkute mwenye vigezo vyote hivyo
haa Dr. Dre nipo nasikiza ngoma yako uliyomshirikisha xzibit na eminem hapa kwa laptop yani ndio inapiga af nakuona hapa......imegongana song na comment yako naionaSiku zote Wanawake wana akili zaidi ya sisi Wanaume, ndio maana wanaidrive hii Dunia.
Kwa tafiti hii nashawishika kuoa mwanamke mwenye akili nyingi darasani,kumbe watoto hurithi akili kutoka kwa Mama zao.Kama mama ni kilaz*a naye mtoto atakuwa kilaz*a na kama Mama ni kichwa darasani naye mtoto wake atakuwa kichwa darasani kumbe wakina Baba hawachangii chochote kumfanya mtoto awe ana akili
View attachment 422374
NB: POLENI MNAOTAFUTA WANAWAKE WENYE MAKALIO MAKUBWA MIE KUANZIA SASA NATAFUTA MWANAMKE MWENYE AKILI DARASANI ILI WATOTO WETU WAWE GENIUS
edit neno mie, weka mimi. naskia ke, ndo hupendelea sana kusema mie. (kidding)Kwa tafiti hii nashawishika kuoa mwanamke mwenye akili nyingi darasani,kumbe watoto hurithi akili kutoka kwa Mama zao.Kama mama ni kilaz*a naye mtoto atakuwa kilaz*a na kama Mama ni kichwa darasani naye mtoto wake atakuwa kichwa darasani kumbe wakina Baba hawachangii chochote kumfanya mtoto awe ana akili
View attachment 422374
NB: POLENI MNAOTAFUTA WANAWAKE WENYE MAKALIO MAKUBWA MIE KUANZIA SASA NATAFUTA MWANAMKE MWENYE AKILI DARASANI ILI WATOTO WETU WAWE GENIUS
huo modomo unauzaje? (kidding )yaaani wanangu wana akili balaaa
Kwani wamesema unarithi historia ya mama au akili ya mama??? Najua akili yake na ya baba ndo maana nikasema nmerithi ya baba. Na baba yangu ni my real biological father kwa DNA kabisa!mkuu hebu kafuatilie historia ya mama yako upate ukweli halisi
lakiihuo modomo unauzaje? (kidding )
Wee nawe hujui kuwa "usi mwamini muongo hata kama atasema ukweli"..hawaaminiki TWAWEZA kwakuwa walishakuwa waongo since there hvyo hata wasema ukweli ni marufuku kuwaaminiKwa kuwa utafiti huo ni wa mzungu, sioni anaehoji. Ungetolewa na TWAWEZA, watu povu lingewatoka.
Ukandamizaji wa fikra hautaisha endapo tutaendelea kuamini nyeupe ni amani na nyeusi ni balaa.
Mtafute jamaa mmoja anaitwa FisadiKuu kuu hapa jf atakwambia kwanini hapendi mabinti wenye makalio makubwa.mwanamke kuwa na chura na akili si rahisi umkute mwenye vigezo vyote hivyo
Gaspare Mbile unaona hapo kuwa na chura kubwa ni ukahaba na mtoto atarithi kwa mamaWanawake wenye makalio makubwa hamna cha maana zaidi ya kutikisa makalio mitandaoni
Agnes masogange
Wema sepetu
Amber lulu
Gigy money
Linah
Unategemea hao watoto wao akili zitoke wap
Kwa tafiti hii nashawishika kuoa mwanamke mwenye akili nyingi darasani,kumbe watoto hurithi akili kutoka kwa Mama zao.Kama mama ni kilaz*a naye mtoto atakuwa kilaz*a na kama Mama ni kichwa darasani naye mtoto wake atakuwa kichwa darasani kumbe wakina Baba hawachangii chochote kumfanya mtoto awe ana akili
View attachment 422374
NB: POLENI MNAOTAFUTA WANAWAKE WENYE MAKALIO MAKUBWA MIE KUANZIA SASA NATAFUTA MWANAMKE MWENYE AKILI DARASANI ILI WATOTO WETU WAWE GENIUS