Kwa ukosefu mkubwa wa ajira sasa na wakati ujao, Unadhani vijana wasomee nini ili waje kuwa wakina nani?

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,587
15,373
Kwa mabadiliko makubwa ya teknolojia hatutegemei kwa na ajira nyingi za mkupuo kama miaka ya zamani. Hii ni dunia nzima.

Zinabaki taaluma chache tu ambazo ni lazima awepo mtu watu wachache ili mambo yaende.

Niliongea na muhandisi mmoja katika fani yake anasema wanafunga tech kwenye mashine flani ambazo zinafanya kazi chini ya ardhi. Zoezi likifanikiwa hakutakuwa na haja ya kuajiri operators/Drivers wa hizo mashine bali watakuwa na control center watu wachache wakiendesha remotely.

Unadhani ni kitu gani au ujuzi gani ambao ni lazima kila mtu anaposoma chuo awe nao ili umsaidie hata kama hakuta kuwa na ajira.

Mimi cha kwanza ninachokiona ni Sales and Marketing. Ukijua kuuza na kunadi unachokiuza unaweza kufanikiwa kwenye kada yoyote hata nje ya fani yako.

Ni hayo tu.

Nini maoni yako.
 
Ajira zitaendelea kuwepo tu, mkuu hadi mwisho wa wakati.

Jambo la msingi watu wabobee kwenye fani wanayopenda, na siyo kuleta ubabaifu.

Bado kuna uwanja mpana sana wa ajira sasa, hata kadiri muda unavyozidi kusogea.

People should cultivate a spirit of optimism and strategic learning.

Kinachowavuruga watu wengi wa Africa ni elimu wanayoipata bila kujua in advance wapi watakapoiaplai maishani.

A good example, utakuta social media zinajadili a sort of ^Hivi mbona hatuoni real life application ya kitu fulani na fulani tulichohangaikia sana kusoma shuleni!^

Mantiki yake, hakuna uhusiano wowote, kwa wengi wanafunzi na hata wanavyuo, kati ya elimu darasa na maisha halisi.

Si ajabu baadhi ya watu wamechagua kufuata ule usemi mashuhuri: ^Elimu ni kile kinachosalia akilini baada ya kuondoa yale yote uliyojifunza shuleni.^

If that is true, and people see it thus, basi kwa mtazamo huo kwenda shule kwa maana ya sasa ni hasara badala ya faida.

Swali la msingi ni kwamba elimu yetu ikoje? Inalenga nini hasa? Is it worth it?
 
Ajira zitaendelea kuwepo tu, mkuu hadi mwisho wa wakati.

Jambo la msingi watu wabobee kwenye fani wanayopenda, na siyo kuleta ubabaifu.

Bado kuna uwanja mpana sana wa ajira sasa, hata kadiri muda unavyozidi kusogea.

People should cultivate a spirit of optimism and strategic learning.

Kinachowavuruga watu wengi wa Africa ni elimu wanayoipata bila kujua in advance wapi watakapoiaplai maishani.

A good example, utakuta social media zinajadili a sort of ^Hivi mbona hatuoni real life application ya kitu fulani na fulani tulichohangaikia sana kusoma shuleni!^

Mantiki yake, hakuna uhusiano wowote, kwa wengi wanafunzi na hata wanavyuo, kati ya elimu darasa na maisha halisi.

Si ajabu baadhi ya watu wamechagua kufuata ule usemi mashuhuri: ^Elimu ni kile kinachosalia akilini baada ya kuondoa yale yote uliyojifunza shuleni.^

If that is true, and people see it thus, basi kwa mtazamo huo kwenda shule kwa maana ya sasa ni hasara badala ya faida.

Swali la msingi ni kwamba elimu yetu ikoje? Inalenga nini hasa? Is it worth it?
Asante mkuu, nimejifunza vitu kwenye mchango wako.
 
Ajira zitaendelea kuwepo tu, mkuu hadi mwisho wa wakati.

Jambo la msingi watu wabobee kwenye fani wanayopenda, na siyo kuleta ubabaifu.

Bado kuna uwanja mpana sana wa ajira sasa, hata kadiri muda unavyozidi kusogea.

People should cultivate a spirit of optimism and strategic learning.

Kinachowavuruga watu wengi wa Africa ni elimu wanayoipata bila kujua in advance wapi watakapoiaplai maishani.

A good example, utakuta social media zinajadili a sort of ^Hivi mbona hatuoni real life application ya kitu fulani na fulani tulichohangaikia sana kusoma shuleni!^

Mantiki yake, hakuna uhusiano wowote, kwa wengi wanafunzi na hata wanavyuo, kati ya elimu darasa na maisha halisi.

Si ajabu baadhi ya watu wamechagua kufuata ule usemi mashuhuri: ^Elimu ni kile kinachosalia akilini baada ya kuondoa yale yote uliyojifunza shuleni.^

If that is true, and people see it thus, basi kwa mtazamo huo kwenda shule kwa maana ya sasa ni hasara badala ya faida.

Swali la msingi ni kwamba elimu yetu ikoje? Inalenga nini hasa? Is it worth it?
Elimu ya Afrika hasa Tanzania ni Utapeli
 
Using'arishe kitu sicho.
Nenda Shule Kama kile unachotaka kuwa kinataka upitie mfumo wa elimu rasmi Kama hauruhusu wapambanie huko huko wasivamie visivyowahusu kwa kufuata mkumbo na trends Kama sio tamaa.

Uwezo wa kipekee unamtaka mtu anayeushghulisha na ndio malipo na ujira wa mtu umejificha humo (Utalipwa Ada sio mshahara ) kwa maana utajiajiri na sio kuajiriwa.

Je ni wangapi wanafahamu wamezaliwa kuhudumu wanao wazunguka kwa Jambo gani ?

Umezaliwa kuwa Nani ?
Ukienda Shule ukasoma na Bado haukuwa Yule uliyetaka jua ulienda kujipumbaza sio kujielimisha.
 
Kwa mabadiliko makubwa ya teknolojia hatutegemei kwa na ajira nyingi za mkupuo kama miaka ya zamani. Hii ni dunia nzima.

Zinabaki taaluma chache tu ambazo ni lazima awepo mtu watu wachache ili mambo yaende.

Niliongea na muhandisi mmoja katika fani yake anasema wanafunga tech kwenye mashine flani ambazo zinafanya kazi chini ya ardhi. Zoezi likifanikiwa hakutakuwa na haja ya kuajiri operators/Drivers wa hizo mashine bali watakuwa na control center watu wachache wakiendesha remotely.

Unadhani ni kitu gani au ujuzi gani ambao ni lazima kila mtu anaposoma chuo awe nao ili umsaidie hata kama hakuta kuwa na ajira.

Mimi cha kwanza ninachokiona ni Sales and Marketing. Ukijua kuuza na kunadi unachokiuza unaweza kufanikiwa kwenye kada yoyote hata nje ya fani yako.

Ni hayo tu.

Nini maoni yako.
ufundi ndio solution pekee iliyobaki..
 
Using'arishe kitu sicho.
Nenda Shule Kama kile unachotaka kuwa kinataka upitie mfumo wa elimu rasmi Kama hauruhusu wapambanie huko huko wasivamie visivyowahusu kwa kufuata mkumbo na trends Kama sio tamaa.

Uwezo wa kipekee unamtaka mtu anayeushghulisha na ndio malipo na ujira wa mtu umejificha humo (Utalipwa Ada sio mshahara ) kwa maana utajiajiri na sio kuajiriwa.

Je ni wangapi wanafahamu wamezaliwa kuhudumu wanao wazunguka kwa Jambo gani ?

Umezaliwa kuwa Nani ?
Ukienda Shule ukasoma na Bado haukuwa Yule uliyetaka jua ulienda kujipumbaza sio kujielimisha.
Asante. Unamaanisha tunayakiwa kuwa na elimu ya utambuzi kabla ya kuongia kwenye elimu hii ya madarasani au sijakuelewa.
 
Kwa mabadiliko makubwa ya teknolojia hatutegemei kwa na ajira nyingi za mkupuo kama miaka ya zamani. Hii ni dunia nzima.

Zinabaki taaluma chache tu ambazo ni lazima awepo mtu watu wachache ili mambo yaende.

Niliongea na muhandisi mmoja katika fani yake anasema wanafunga tech kwenye mashine flani ambazo zinafanya kazi chini ya ardhi. Zoezi likifanikiwa hakutakuwa na haja ya kuajiri operators/Drivers wa hizo mashine bali watakuwa na control center watu wachache wakiendesha remotely.

Unadhani ni kitu gani au ujuzi gani ambao ni lazima kila mtu anaposoma chuo awe nao ili umsaidie hata kama hakuta kuwa na ajira.

Mimi cha kwanza ninachokiona ni Sales and Marketing. Ukijua kuuza na kunadi unachokiuza unaweza kufanikiwa kwenye kada yoyote hata nje ya fani yako.

Ni hayo tu.

Nini maoni yako.
Huwezi uza kitu usichoweza kuzalisha,huwezi pata hela kuwatibu watu masikini,huwezi simamia mikataba ya watu wasio na mali,.
Ili kutatua tatizo la ajira,inabidi tujue limetokeaje.
Tatizo la ajira limesababishwa na:-
1.ubinafsishaji(90%)
Yaani unakodisha mgodi kwa miaka 100,kwa ratio ya faida ya 97%,3%,.....miaka 20 ilyopita kipindi wakina mkapa wanaingia mkataba waliona labda bilioni 100 ni hela kubwa sana sababu Tz ilikua na watu hawazidi hata 30M,Sasa una watu zaidi ya 62M na uliowauzia mali zako kwa miaka 100 wanakupa 150B Tsh na ndio kwanza mwaka wa 20.

2.uwekezaji mdogo wa elimu za uzalishaji mali(10%)
Inachekesha nchi ambayo wanatoa hadi phD vyuo vikuu,.....viberiti,tissues,underwair,matchsticks Hadi penseli ya sh.100/=,inaagizwa nje,hii si ni nchi ya wapumbavu sasa?
Hata uwe na watu wenye PhD za finance na marketing taifa zima kama hamuzalishi kitu,wote hao watakua machawa na madalali/mawinga wa bidhaa za wachina na bidhaa used kutoka nchi zinazozalisha
 
Huwezi uza kitu usichoweza kuzalisha,huwezi pata hela kuwatibu watu masikini,huwezi simamia mikataba ya watu wasio na mali,.
Ili kutatua tatizo la ajira,inabidi tujue limetokeaje.
Tatizo la ajira limesababishwa na:-
1.ubinafsishaji(90%)
Yaani unakodisha mgodi kwa miaka 100,kwa ratio ya faida ya 97%,3%,.....miaka 20 ilyopita kipindi wakina mkapa wanaingia mkataba waliona labda bilioni 100 ni hela kubwa sana sababu Tz ilikua na watu hawazidi hata 30M,Sasa una watu zaidi ya 62M na uliowauzia mali zako kwa miaka 100 wanakupa 150B Tsh na ndio kwanza mwaka wa 20.

2.uwekezaji mdogo wa elimu za uzalishaji mali(10%)
Inachekesha nchi ambayo wanatoa hadi phD vyuo vikuu,.....viberiti,tissues,underwair,matchsticks Hadi penseli ya sh.100/=,inaagizwa nje,hii si ni nchi ya wapumbavu sasa?
Hata uwe na watu wenye PhD za finance na marketing taifa zima kama hamuzalishi kitu,wote hao watakua machawa na madalali/mawinga wa bidhaa za wachina na bidhaa used kutoka nchi zinazozalisha
Asante mkuu umeongea kitaifa.
Vipi katika levo ya familia au mtu mmojammoja. Nini anaweza kufanya kujikomboa na madhara hayo ya udhaifu wa kitaifa.
 
Asante. Unamaanisha tunayakiwa kuwa na elimu ya utambuzi kabla ya kuongia kwenye elimu hii ya madarasani au sijakuelewa.
Yeah Kaka Vision ikiwa moja ukiingia kwenye elimu hii unawekwa kwa Division ( Di )teyarai ushaingizwa kwenye mfumo was taarifa nyingi zisizokuhusu na mashaka.

Bila kujijua wewe ni nani lazima uangukie pua.
 
Kua na familia ya watu utaoweza kuwamudu!
Lakini hata uwe na hela vipi effect ya umasikini huwezi ikwepa ama kuitatua peke yako.
Yes MD,law,accountant,engineer inalipa lakini sehemu za kufanyiq kazi ni chache.......productions iikiwa ndogo madhara yake ni optimal
Asante mkuu umeongea kitaifa.
Vipi katika levo ya familia au mtu mmojammoja. Nini anaweza kufanya kujikomboa na madhara hayo ya udhaifu wa kitaifa.
a
 
Back
Top Bottom