Maarifa
JF-Expert Member
- Nov 23, 2006
- 4,568
- 2,911
Kwa nchi zenye uchumi tete kama Tanzania, ni mbinu ya gavana ku control dafu mtaani. However I doubt kwani kughushi pesa kupo duniani kote na hatujasikia Marekani au UK wakibadilisha noti. Pesa yaweza kubadilishwa gradually. Kama kweli wanataka ku control pesa feki
1. kila mfanyabiashara awe na mashine za kude tect noti bandia
2 wanapochapisha hizo noti basi apewe mkandarasi mwenye kujua kazi yake sio noti inatoka leo kesho ukiiona haifai tena. na watumie modern technology.
Hivi kweli porofesa mzima wa uchumi anabadilisha pesa eti kuzuia noti za kughushi!!!! I dont think so. angetoa another financial and economical stands kwa zoezi hilo.
1. kila mfanyabiashara awe na mashine za kude tect noti bandia
2 wanapochapisha hizo noti basi apewe mkandarasi mwenye kujua kazi yake sio noti inatoka leo kesho ukiiona haifai tena. na watumie modern technology.
Hivi kweli porofesa mzima wa uchumi anabadilisha pesa eti kuzuia noti za kughushi!!!! I dont think so. angetoa another financial and economical stands kwa zoezi hilo.