obsesd
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 1,225
- 525
Mpolee, kuna kitu natamani ukielewe....kuna wakati inabidi hata kama humheshimu mtu,basi mawazo yake uyaheshimu na kuyaacha vile yalivyo kama huna budi kuyashughulikia....! Mfano: Mpole ni mtoto, wewe si mtoto unavyojijua....ana sababu zake na pengine ipo siku huyo huyo atasema Mpole is matured kwasababu labda hoja zako,maoni yamebadilika....huwezi mlazimisha mtu afikiri,akuzungumze utakavyo naye pia hawezi kukulazimisha....unaweza badilika wewe binafsi ukiona kuna ulazima wa kufanya hivyo!
This z awesome mamie, u seems to be very gud mshauri, me love u michille! kp t up! mambo bi gm, me nakupenda wewe umechangamka kama pilipili manga lol. unahandle mambo yako on ur own way, which z gud bana! enjoy sawa bibiex!