Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
Fata kilicho kuleta dada\kaka,Mx
kilichonileta ni hicho nilichokifanya.
Fata kilicho kuleta dada\kaka,Mx
Sidhani,Mxkilichonileta ni hicho nilichokifanya.
Sidhani,Mx
Wanawake tupendane, mambo mengine yanatushushia hadhi,tukishindwa kwa madogo hata makubwa tutapata shida kuyamudu.
Changamoto ziko kila mahali,tuvumiliane,tuheshimu tofauti zilizopo baina yetu na tusaidiane.
ok, I think we are all concerned, so long we are the one's browsing. Anyway keep it up, let move on. Jf is never boring!
lol,yani hata sauti yangu utaki kusikia bebi ww mjanja kama Sungura,Mx
hujui kama ukisemwa ndo unarekebishika tabia?
inakuhusu coz umeingilia vitu vizivyo kuhusu,Mxhainihusu.
miss u dear,za jumapili?
Mtoto wa mwenzio mkubwa mwenzio bebi,Mxsaut yako ya nn baby? ushatangaz una 21 ww mtoto kwang!
inakuhusu coz umeingilia vitu vizivyo kuhusu,Mx
Dada zangu basi, fanyeni yameisha. Siku zote penye wengi miongano ya hapa na pale haikosekani. Cha muhimu ni kupendana, kuvumiliana na kuchukuliana. Tuna tabia na hulka tofauti so kuchukuliana ni muhimu.
Love U all.
Sijui unanitaka nn ww?utanisababishia ban,Mxpoor reasoning
najua unajua. hata mm najua yang. kwa nn usiheshmu hilo?
tel me.
Sijui unanitaka nn ww?utanisababishia bun,Mx
Da michelle nakupenda san. una busara. cku ya kwanza nimerud ulikua kind san kwang. cna shda na mwanadam mwingine lkn ni ajab watu wengine hasa lizzy ananiponda then wanakuja wengine kumwambia ani igno kama vile cna akili na ni mtoto mdogo. mm nauliza kama ni hivo y kila nikiweka thread wanakuja kunikorofisha? huu ujumbe uliotoa mm nazingatia sbb wapiga kura weng wanawake. hebu mueleze na lizzy aelewe katika ubongo wake mgumu huo.
Da michelle nakupenda san. una busara. cku ya kwanza nimerud ulikua kind san kwang. cna shda na mwanadam mwingine lkn ni ajab watu wengine hasa lizzy ananiponda then wanakuja wengine kumwambia ani igno kama vile cna akili na ni mtoto mdogo. mm nauliza kama ni hivo y kila nikiweka thread wanakuja kunikorofisha? huu ujumbe uliotoa mm nazingatia sbb wapiga kura weng wanawake. hebu mueleze na lizzy aelewe katika ubongo wake mgumu huo.