THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,340
- 12,823
me namshangaa sana, eti kbs unakuja mbele ya kadamnasi na kuanza kujisifia eti.ohoooo..... Nimeoa mzungu,
mzungu nani bhana hapa, kitu zipo kwenye ngozi nyeusi,
1. Tuna joto miilini mwetu tofauti na huyo kitimoto wako.
2. Mauno na ma-style yooote tunayajua, tofauti na huyo mzungu wako,sanasana atakupa mbinjuko tu.
3. Ngozi zetu zina afya na rutuba tofauti na hao wa jamii ya mkeo, ngozi haieleweki kama ya kitimoto.
4. Weusi sisi tuna shepu, tofauti na hao, katika wazungu 10, 2 tu ndo wenye shepu, waliobaki wote shapeless.
5. ..........................
vs
chaguo ni lako
na mjini sasa ishakuwa ni gemuuu,wanaume kugombea mabwanaa,,
wajifanya waoa,kumbe waolewa wao na usikute hata nazi pia hukuna,lol