BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,050
- 10,495
Possibility ya mwanamke mzuri kuliwa ipo juu kulinganisha na mwanamke wa kawaida au mbovu ni jambo ambalo liko wazi kabisa jaribu kufikiria mwanamke ambaye akipita sehemu kila mmoja anapiga salute kuwa chombo kimepita mpaka wanawake wenzake wanakubali kuwa mwenzao ni mzuri..
Sasa ukiwa na mwanamke wa design hii lazima upate shinikizo la moyo mwisho ujifie kwa stress maana anakuwa most wanted watu watatumia rasilimali fedha kuhakikisha tu analiwa na kuna wahuni hawaoni hasara kumwaga pesa kwa watoto wazuri kama ni mke wako atabana wee mpaka siku ataachia mwenyewe.
Back in a days nishawahi kufanya kazi na pisikali wilaya fulani aisee yule binti alikuwa anafuatiliwa na madon balaa nilikuwa naona mume wake alivyokuwa akiishi kama digidigi kwa wasiwasi wa kuchapiwa na kweli alikuwa anachapiwa.
Sasa yote ya nini kukaa na wasiwasi wa kuchapiwa ni bora ujichukulie kamwanamke kako ka kawaida kabisa ambako hata akipita mtaani watu hawashtuki kumuepusha na team mafisi ambao wakiamua lao hawashindwi.
Hata mimi napenda wanawake wazuri ila siwezi kuthubutu kuoa mwanamke mzuri kwanza mwanamke mzuri akishajijua ni mzuri kuna aina fulani ya maisha ya hadhi ya chini hataki kuishi hata kama ndio maisha ya kwao.
Kama pesa ipo ni kuwapelekea moto tu sometimes naelewa kwa nini mimi sio tajiri maana ningepelekea moto afu ningekuwa silali na mwanamke mmoja mara mbili hawa viumbe wanadharau juzi kuna kimoja kimeropoka eti hawezi kulala na mwanaume masikini.
Sasa ukiwa na mwanamke wa design hii lazima upate shinikizo la moyo mwisho ujifie kwa stress maana anakuwa most wanted watu watatumia rasilimali fedha kuhakikisha tu analiwa na kuna wahuni hawaoni hasara kumwaga pesa kwa watoto wazuri kama ni mke wako atabana wee mpaka siku ataachia mwenyewe.
Back in a days nishawahi kufanya kazi na pisikali wilaya fulani aisee yule binti alikuwa anafuatiliwa na madon balaa nilikuwa naona mume wake alivyokuwa akiishi kama digidigi kwa wasiwasi wa kuchapiwa na kweli alikuwa anachapiwa.
Sasa yote ya nini kukaa na wasiwasi wa kuchapiwa ni bora ujichukulie kamwanamke kako ka kawaida kabisa ambako hata akipita mtaani watu hawashtuki kumuepusha na team mafisi ambao wakiamua lao hawashindwi.
Hata mimi napenda wanawake wazuri ila siwezi kuthubutu kuoa mwanamke mzuri kwanza mwanamke mzuri akishajijua ni mzuri kuna aina fulani ya maisha ya hadhi ya chini hataki kuishi hata kama ndio maisha ya kwao.
Kama pesa ipo ni kuwapelekea moto tu sometimes naelewa kwa nini mimi sio tajiri maana ningepelekea moto afu ningekuwa silali na mwanamke mmoja mara mbili hawa viumbe wanadharau juzi kuna kimoja kimeropoka eti hawezi kulala na mwanaume masikini.