Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,713
lukuD ,nilijenga hoja yangu kwenye kauli yako uliposema huwezi kuoa mwanamke mwenye elimu chini ya chuo kikuu
"
Hapo ndipo ulipodhihirisha tatito ambalo mimi nimeliona
"
Huwezi kuwa mwana umajumuhh halaeu unakuwa mbaguzi.Ulipowabagua wanawake wengine umedhihirisha matatizo kwenye hoja yako
"
Bibi yako hakuwa na elimu ya chuo kikuu na alikua mke bora,why unataka kuoa mwanamke wa chuo,unatafuta nini huko kwa wa chuo?
"
Uafrika unafundishwa chuo?
"
Kitu kingine kinachokataa uafrika wako ni pale uliposema "wacha nikuambie kiingereza ili unielewe vyema",nani amekuambia ukisema kiswahili hueleweki?
"
Haya ni mawazo ya kitumwa!
"
Hapo ndipo ulipodhihirisha tatito ambalo mimi nimeliona
"
Huwezi kuwa mwana umajumuhh halaeu unakuwa mbaguzi.Ulipowabagua wanawake wengine umedhihirisha matatizo kwenye hoja yako
"
Bibi yako hakuwa na elimu ya chuo kikuu na alikua mke bora,why unataka kuoa mwanamke wa chuo,unatafuta nini huko kwa wa chuo?
"
Uafrika unafundishwa chuo?
"
Kitu kingine kinachokataa uafrika wako ni pale uliposema "wacha nikuambie kiingereza ili unielewe vyema",nani amekuambia ukisema kiswahili hueleweki?
"
Haya ni mawazo ya kitumwa!
Last edited by a moderator: