Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 30,081
- 32,529
hahahahahaha akivua nguo unavuta picha ya kitioto kikiwa dukani alafu naniliu zao au utambi mpaka uupepeeee sana maana ni baridi hata za kike mpa ka usugue sana ndio stimu zipande aibu yake kajisikia kapata kume ameoa kitimoto hahahhhaahahaha
Me Namshangaa sana, eti kbs unakuja mbele ya Kadamnasi na kuanza kujisifia eti.ohoooo..... nimeoa Mzungu,
Mzungu nani Bhana hapa, Kitu zipo kwenye ngozi nyeusi,
1. Tuna Joto miilini mwetu tofauti na huyo kitimoto wako.
2. Mauno na ma-Style yooote tunayajua, tofauti na huyo mzungu wako,sanasana atakupa mbinjuko tu.
3. Ngozi zetu zina Afya na Rutuba tofauti na hao wa jamii ya Mkeo, ngozi haieleweki kama ya Kitimoto.
4. Weusi sisi tuna shepu, tofauti na hao, Katika wazungu 10, 2 tu ndo wenye shepu, waliobaki wote Shapeless.
5. ..........................
VS
CHAGUO NI LAKO