Kwa nini majike tu?

Hapo mpwa umeua, sasa wenzao wajasiriamali huwa wanakupa kidogo ila wanaomba nyingi, kwa mfano unaweza kushangaa from nowhere unaongezewa buku tano kwenye simu lakini baada ya siku mbili unapigwa mzinga wa vocha buku thelathini. Au unamsindikiza shopping anakununulia wallet 25k hala mkiingia duka jingine anataka kipochi cha 65k.
HEHEHEHEHE!
zic iz SAIKOLOGICAL ATTACK!:D
 
duh! burn unaongea kaa mtaalamu wa hiyo shughuli ya kuhonga wadada bila kutaka! l
 
duh! burn unaongea kaa mtaalamu wa hiyo shughuli ya kuhonga wadada bila kutaka! l
naomba nimsaidie burn,
ni kwamba ana mastaaz ya hii kitu.so,watu wasiogope sana tafadhali!ni uzoefu wake wa vitabuni.ai miini yupo kinadharia zaidi
 
Hehehe anawahi sokoni kununua nyanya, nyama, vitunguu n.k

hiyo ndio aina nzuri ya kuhonga mpwa, unamfanya mwenzio apumzike huku ukimpikia mahanjumati kama huyu jamaa anavyodai anataka kumfanyia mpenzi wake. [ame="http://www.youtube.com/watch?v=-f94KnjLcOs"]eti bibie leo akae tu ainjoi malavidavi[/ame]
 
wakuu, hv kwa nini wanawake wengi huwa wanaona kama halali yao kuhongwa? s wote, lakini asilimia kubwa ya wanawake akiwa na mshkaji anaona matatizo yake yanaishia hapo...mara nataka vocha!, mara losheni!
mkitoka auti kulipa bill tu mziki!....si wasomi, si wa uswahilini!

mie naona si sahihi kuwaita majike, kwani wao ng'ombe?
 
hili tatizo ni kwa
wanawake wa tz zaidi..
Wanawake wa kenya sio sana.

Nilikuwa na girlfriend mkenya..
Nikimnunulia zawadi na yeye ataninunulia kwa pesa yake.
Hakuna kubeep wala kuomba vocha.

Wanawake wa kibongo wana mazoea ya kupewa tu.
Sijui ni nini?


You are very right man. Vivian has been so honest. Ila ukweli ni kuwa asilimia kubwa ya wanawake bongo ndio walivyo! wanataka kupewa tu, hata kama nao wana income!.
Ila na wanaume nao, it is high time you should try to change this! hata kama ni mapenzi, kwa nini mwanamke apewe hela? kwani si mnafurahia wote? kwani wote si mna mahitahi? huu ni unyonyaji kama sio ufisadi!
Angalia sheria ya ndoa, kama baba na mama wameachana, sheria inasema baba atatoa matunzo hata kama mama ana kipato zaidi ya baba! why, kwa nini kila mtu asitoe nusu?
 
It depends na mwanamke lakini nadhani hii inatokana na mazingira ambayo tume lelewa. Binti anakua akiona mama mahitaji yote ana muomba mzee hata kama mama ana kipato. na vitu kama hivyo kwa hiyo hata yeye akikua anaona ni wajibu wa mwanaume kutoa huduma hizo. Ana kua akiona kwenye jamii inayo mzunguuka mwanamke akimtegemea mwanaume. Siyo kwenye t.v. siyo mashuleni au mitaani hii ndiyo hali anayo kua akiona. Sasa huyu binti nae akikua anaona ni halali yake kutunzwa na mwanaume. By the way jina la majike siyo la heshima hata kidogo. Kumbuka una mama, dada na labda hata mpenzi. BE RESPECTFUL!
 
teh teh teh! Sisi ni wanyama muzee, JIKE na DUME ni sawa tu.

Ila pia ukumbuke kuna hulka na silika, hivi hutofautisha unyama wetu na kubariki ila hadhi aliyotupa muumba

kumbuka pia kuna tofauti kubwa sana kwenye lugha kati ya kwenda haja kubwa na kunya!
 
heshima iko palepale, Kijamii kusema MAJIKE haijakaa ki-urembo zaid, Ila Kisayansi mwanadamu yuko kwenye kundi moja na Sokwe na wanyama wengi, MKE WANGU ATAJIFUNGUA DUME!....anyway tustick kwenye point....hayo mengine TUPOTEZEYE!
 
Ila pia ukumbuke kuna hulka na silika, hivi hutofautisha unyama wetu na kubariki ila hadhi aliyotupa muumba

kumbuka pia kuna tofauti kubwa sana kwenye lugha kati ya kwenda haja kubwa na kunya!

sawa kabisa, lakini KUNYA inabaki KUNYA tu, hata ukienda haja kubwa UTAKUNYA tu! ....im sorry
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom