Kwa nini majike tu?

Acha hizo. mshahara laki 6!!!

hapa mjini utaishije?

house rent..... 350,000
food ..... 180,000
fuel 200,000
Michango... 100.000
dstv 101,000
mubia 190,000
nguo ?
wazee kijijini ?

Karibu sana jamvini mama.
Umesahau hapo kitu mm nilikuwa natoa kulitachi nywele 70,000/= kwa wiki
 
Nyie mbona mnamchokoza mtoto wa watu kwa nini ?? Hebu mwacheni kwanza anaonekana bado binti mdogo hayo makombora teteteh mnamuonea
 
wanwake wa siku hizi pride hawana ....wako style ya kuchuna tu .......na wanaume wa siku hizi, akili yao kwenye "kuji express" tu kiasi cha kuwa wanakubali kuwapa wanawake chchote as long sheria haimbani na anaweza kusepa anytime!
 
Karibu sana jamvini mama.
Umesahau hapo kitu mm nilikuwa natoa kulitachi nywele 70,000/= kwa wiki

Mpwa kaa pembeni. Hiyo 70 yako ni uchafu hapa. Wenzio wanagawa ATM card watu wanajichotea mahela. Stuka mpwa.
 
Nyie mbona mnamchokoza mtoto wa watu kwa nini ?? Hebu mwacheni kwanza anaonekana bado binti mdogo hayo makombora teteteh mnamuonea

Nani alikudanganya binti mdogo anadroo laki 6 kwenye akaunti ya mwanaume? Stuka mama!
 
fidel inaonyesha 70k ya kuritachi inakuuma vibaya sana! haaha alikuweza kweli kweli!
 
Nani alikudanganya binti mdogo anadroo laki 6 kwenye akaunti ya mwanaume? Stuka mama!
MTU MZIMA HUYU!angalia matumizi yake!?!!!
mubia sijui ndo nini.roho inaenda mbio hasa nikiiruka hiyo herufi MU:D
 
Tumkaribishe chawote anaweza kuklia bill zetu. Mubia = bia. Mutu ya kongo, mutu ya pesa mingi! Mwanachama huyu!
BWASHEE UMEKULA SENKSI kwa kunifahamisha hili!sasa huyu jaribu kumvuta chemba umpe kadi ya mwaliko
 
I think Vivian can see the bolded sentence. I wonder kama alishawahi kumnunulia bf wake hata big G.

Hapo mpwa umeua, sasa wenzao wajasiriamali huwa wanakupa kidogo ila wanaomba nyingi, kwa mfano unaweza kushangaa from nowhere unaongezewa buku tano kwenye simu lakini baada ya siku mbili unapigwa mzinga wa vocha buku thelathini. Au unamsindikiza shopping anakununulia wallet 25k hala mkiingia duka jingine anataka kipochi cha 65k.
 
Hapo mpwa umeua, sasa wenzao wajasiriamali huwa wanakupa kidogo ila wanaomba nyingi, kwa mfano unaweza kushangaa from nowhere unaongezewa buku tano kwenye simu lakini baada ya siku mbili unapigwa mzinga wa vocha buku thelathini. Au unamsindikiza shopping anakununulia wallet 25k hala mkiingia duka jingine anataka kipochi cha 65k.

Hiyo inaitwa janja ya nyani kula indi bichi. Huyu ni business oriented. Hahah!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom