Kwa nini majike tu?

sawa kabisa, lakini KUNYA inabaki KUNYA tu, hata ukienda haja kubwa UTAKUNYA tu! ....im sorry

Lol!!! usiseme sorry mazee, nimecheka mpaka basi... yaani you have put it very raw mkuu!!

Haya bana, kukata gogo je??:D
 
Lugha nyingine hazina hata heshima, kwa akili yako unaona neno jike ni vizuri kutumiwa kwa mwanamke?
 
Ukiona kaka anahongwa na demu jua anatoka kwa Kabila na huyo kazi yake atasonga ugali atatia ndondo tui la nazi na atashea mkorogo na mwishoe atafua kapu zima la makufuli ya mama lol.Dada zetu hata angekuwa na Phd ataomba tu eti ndo maluv.Baeleze waache hizo kama raha kila mtu anapata bana,akina dada acheni kuwa akina Matonya kwani si ndo usawa na fursa sawa majameni?
 
ndivyo walivyoumbwa!
mimi sijawahi kuuona mshahara wa wife,na kila siku hela nampa!
Pole sana ndugu.....
inategemea ulivyokuwa unajifagilia..kama ulijifanya kibopa basi imekula kwako..... wengine kipato kinaonekana na kuwa appreciated ile mbaya!
 
Pole sana ndugu.....
inategemea ulivyokuwa unajifagilia..kama ulijifanya kibopa basi imekula kwako..... wengine kipato kinaonekana na kuwa appreciated ile mbaya!

Regardless ya kujifagilia,

Wanawake kupenda kuhudumiwa inawaondolea credibility katika kutafuta usawa. Kama kweli wanawake wanataka usawa wajue kuonyesha wako sawa katika nyanja zote. Sio kwenye kununua bia unataka kununuliwa kila siku halafu watu wakifika nyumbani eti unataka baba aingie jikoni naye kwa sababu ya usawa, ebo! Huu kama si u golddigger ni nini?

Kuna mama mmoja, reasonably urbanite and all, nilikuwa namfundisha mambo fulani mildly complex ambayo angetaka kuyajua angeyajua, lakini akawa anakataa kujifunza akisema "in the best case scenario, my husband should be here doing this for me, I shouldn't even be working". Nikaona duh, kumbe haya mambo sio kwetu tu Africa hata viwanja kuna wanawake wanajihalalishia hili?

Whatever happenned to "what a man can do, a woman can do better"?
 
, YES OFFCOURSE WANAWAKE WANAPENDA SANA KUPEWA, MITEREMKO WANAPENDA sasa tutafanyaje na ndio hivyo tena nature ilivyo!.


ulimuibua wapi huyo anayependa mteremko? Kwanza elewa siyo kila mwanamke anashida ya uchache..wengine uchache umewatembelea siku nyingi na kwa vile wanatoa badi hujaaliwa kupata zaidi kila siku.

Hivi hivyo ambavyo mnawapa wanawake huwa wanawaomba au ni nyie wenyewe tu huwa mnaamua kutoa?

Ukiona mwanaume analalamika kutoa..ujue yeye alianza kwa kujifanya matawi ya juu..sasa imefika saa ya ukweli ( moment of reckoning)..anaona maji marefu hayawezi....

Wanaume tuache kuokoteza huko mitaani, wamitaani ndio waombaji wakubwa. Demu mwenye kazi mara nyingi haombi, anachangia, ukiagiza bia yeye anaagiza nyama hapo ngoma draw. Lakini kwa wenzangu mie, mbona mwanaume utakoma, yeye kumpata mwanume ni sawa na ATM kama wanavyoita, sasa uko tayari uitwe ATM?? kazi kwenu midume

Hiki ndicho hasa kinachotokea mara nyingi... najiangalia mimi VC nikuombe hela ya vocha hahahahahahh !It must be a practical joke!

Kwanza habari za siku nyingi, naona umerudi kwa speed.

Mj1, nakubaliana na wewe kwa kiasi fulani. lakini mmezidi (wewe haumo). Mademu wanaomba mno, mwanaume ukitongoza na ukakubaliwa subiri baada ya siku hasa baada ya kupewa ulichoomba, utasikia simu yangu imeibiwa siwezi tene kuwasiliana na wewe (anaomba simu ya sh.200,000/-), mara mama mgonjwa anahitaji dawa na hela sina (hapo umegeuka buzi), mara gauni yangu ile nzuri inabana sana (anahitaji mwenda shopping). Sasa ingawa unasema midume tumewazoesha hivyo hapana wamezidi na

Achane kuokoteza machangu huko mitaani!

Mmmh topic hii inanikumbusha Mwezi june, 2009. Nilikutana na binti m1 kwenye lift PPF Tower, mrembo wa kutosha!! Ikabidi nimtupie sumu, nikamwomba tukae sanaa pub kwa ajiri ya mazungumzo kidogo!! Baada ya hapo binti akawa wangu lakini mambo hatoi. Kila nikiomba anasema kesho leo siko fresh!! Hapo kila saa saba kasoro ananipigia oohh swty mambo, unaenda wapi lunch!!

Baada ya wiki kama 2 hivi akanipiga mzinga wa TZS. 500,000/-, nikamwambia subiri ntakupa Jmosi, ilipofika jmosi binti akaenda hewani kuulizia pesa aliyoiomba. Nikamwambia aje hoteli fulani (jina kapuni) nimpatie. Saa sita kamili binti huyo, kaulamba sio mchezo. Nikamchukua nikamleta room, huku mezani nimeiweka hiyo laki tano kwenye meza inaonekana!! Story zikaanza huku nikinywa Serengeti na binti akibugia Wine, huku binti anacheka cheka tu na kujifanya anamponda mwanaume wake aliyekuwa naye kabla!!

Akanipa mchezo maridadi sana, tulipomaliza nikammuliza nikakudrop wapi?? Akaniambia niache Mwenge, nikachukua ile pesa na tukaanza kutoka. akauliza mbona simpi ile pesa? nikamwambia kiutani nitakupea kwenye gari sitaki mrembo ubebe mzigo wakati mi nipo. Tulipofika kwenye gari na kuanza kuondoka nikamwambia kwa siku ile nisingeweza kumpa ile pesa, alipojaribu kuuliza kwa nini nikamwambia nilikuwa na shida nyingine. Akakasirika sana na kuomba nimshushe, nikamshusha huku nikimuuliza 'ulikuwa unaniuzia penzi?'

Si unaona/. changudoa umemtafuta mwenyewe halafu unalialia hapa!

hili tatizo ni kwa
wanawake wa tz zaidi..
Wanawake wa kenya sio sana.

Nilikuwa na girlfriend mkenya..
Nikimnunulia zawadi na yeye ataninunulia kwa pesa yake.
Hakuna kubeep wala kuomba vocha.

Wanawake wa kibongo wana mazoea ya kupewa tu.
Sijui ni nini?

inategemea wewe mwenyewe kama una ubavu kumfuata mwanamke mwenye nazo!
 
Lugha nyingine hazina hata heshima, kwa akili yako unaona neno jike ni vizuri kutumiwa kwa mwanamke?

chukua kamusi tafuta tafsiri ya neno "JIKE".....you fit in oraiti! mke wangu atajifungua "DUME"....teh teh,
im sory!
 
chukua kamusi tafuta tafsiri ya neno "JIKE".....you fit in oraiti! mke wangu atajifungua "DUME"....teh teh,
im sory!

hahahahah yaani wewe sijui kama umesoma kiswahili fasaha kweli Amoeba na si makosa yako nionavyo mie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom