- Thread starter
- #101
niliwaona masaki
Dar kuna Masaki mbili ujue.
niliwaona masaki
Udini umekutawala eeh!
Yaweza kuwa...??
hi!Jamani mbona mmemchunia bhoke jamani... hahahaha! Wadada hawana ushirikiano humu. Ilana wewe bhoke approach yako DUH!
Mkuu huyu jamaa ametembea sana na amekuja na hizi taarifa,wewe unataka akatembee wapi ili ajionee hizo couple?hao niliobold mbona wapo wengi sana.....jaribu kutembea utakutana nazo.......
Hello guys!
How are you doing!
Iam new here! Please welcome me!
Goodmorning to you all!
mjapan na mswahili je?
Yupo. Kuna mama mmoja Mjapani (simtaji jina kwa sababu nitakuwa naingilia privacy yake) anaishi Dodoma. Huyu kaolewa na Mswahili na wanaishi wote Dodoma hadi leo. Kaingia Tanzania early 1980s
Nimekubali.
Mhindi na Mswahili
Msomali na Mswahili
Mhindi na Msomali
Mzungu na Mwarabu
Huwa najiuliza sana...?!
bold and underlined sijaoa mmoja wao... lakini wote nimeshatembea nao kipindi cha box.. muhindi almanusura nimuoe sema swala la usafi wake binafsi na mazingira duh. nilinyanyua mikono