chunguza hapo kwenye PAIR ADIMU utagundua kuna waislamu ndio chanzo cha uadimu wa pair hizo kwa kuwa hawa jamaa mafunzo yao ni kutuchukia wakristo.HENCE PROVED
red wanatuma sana na kunyanyasa sana na wanapenda kuishi kibao in one house ivo sisi waswahili hatujazoeaPAIR ADIMU
Mhindi na Mswahili
Msomali na Mswahili
Mhindi na Msomali
Mzungu na Mwarabu
PAIR KAWAIDA
Mswahili na Mswahili
Mzungu na Mswahili
Msomali na Mwarabu
Mwarabu na Mswahili
1.Huwa najiuliza sana...?!
ndo maana kasema ni adimu!hajasema hakuna kabisa
Mkuu umejitahidi kuchambua kidogo.red wanatuma sana na kunyanyasa sana na wanapenda kuishi kibao in one house ivo sisi waswahili hatujazoea
2.black koz wao ni alshaabib ivo tunawaogopa (majangili,makatili)
3.blue hawawezani hata kidogo yani
4.purple vita na visa vyao ndio hata princess diana kifo chake ....wanachukiana sana kiasi kwamba hata mtoto wa kiarabu akimpe mimba mtoto wa kizungu bora wafanye juu chini afe nayo iyo mimba kuliko iyo mixture kuja kwa dunia
Ukizingatia siku hizi passport ya Tanzania hainunuliki kama njugu kama ilivyokuwa zamani, wataoana sana na waswahili wapate vibali vya kuishi TZ.mkuu kweli hao wapo,ila wachache sana,inawezkana mia kwa mmoja!na imeanza karbuni hasa kwa wahindi vs waswahili
PAIR ADIMU
Mhindi na Mswahili
Msomali na Mswahili
Mhindi na Msomali
Mzungu na Mwarabu
PAIR KAWAIDA
Mswahili na Mswahili
Mzungu na Mswahili
Msomali na Mwarabu
Mwarabu na Mswahili
Huwa najiuliza sana...?!
Hapo kwenye red zipo tena hasahasa Iringa town mitaa ya Kitanzini pia rafiki yangu mama yake mkinga na baba msomali.
Ila hapo kwenye blue hata mi ni mmoja wapo.
Nimeshawahi kuiona kwenye filamu
PAIR ADIMU
Mhindi na Mswahili
Msomali na Mswahili
Mhindi na Msomali
Mzungu na Mwarabu
PAIR KAWAIDA
Mswahili na Mswahili
Mzungu na Mswahili
Msomali na Mwarabu
Mwarabu na Mswahili
Huwa najiuliza sana...?!
mchina na mswahili, ulishawai ona wapi?
niliwaona masakimjapan na mswahili je?