themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 988
- 3,318
Nadhani wengi humu mshawahi kushuhudia biashara zikifa baada ya Maboss kutopenda kutulia na wafanyakazi jambo dogo tu unakuta mtu anafukuza mfanyakazi kesho analeta ukipokea mwingine
Sasa moja ya Biashara ambayo unatakiwa kukaa vizuri na wafanyakazi ni Biashara ya Mgahawa maana skuizi kuna migahawa mikubwa ya kisasa, mtu anawekeza hadi milioni 30 kufungua, maana yake hela inatakiwa irudi
Biashara ya chakula uchawi wake mkubwa upo kwenye ladha nzuri ya chakula na usafi wa hali ya juu, yaani kuna wapishi ukiwapata huwa wanapika hadi wanakera kwa utam wa chakula sasa wewe jiloge kuwafukuza kazi hovyo bila sababu kesho usije ukaja kulia
Ukienda pale mwanza kuna Bar kubwa inasifika kwa kuchoma samaki watam sana , pale ishu sio Bar bali kuna mafundi wakuchoma samaki wapo pale Tajiri anaishi nao vizuri ndio maana kila kukicha wateja wa samaki watam hawakauki, ukijiloga kufukuza tu ukileta mchomaji hivyo wote utawafukuza
Pale temeke kuna msomali mmoja alifungua mgahawa kwenye frem za kishki mtaa wa yombo ,akamuajiri kijana mmoja mtaalam sana wa kupika chapati jamaa akawa anabeba kijiji kama chote, Msomali akaamka vibaya akamwambia kazi basi, jioni akaleta kijana mwingine , yule jamaa akafungua shem kwa mbele akawa anauza chapati mwenyewe
Alihama na kijiji chake yule msomali mgahawa ukaja kumshinda kwa ajili ya utata akaufunga
Sasa moja ya Biashara ambayo unatakiwa kukaa vizuri na wafanyakazi ni Biashara ya Mgahawa maana skuizi kuna migahawa mikubwa ya kisasa, mtu anawekeza hadi milioni 30 kufungua, maana yake hela inatakiwa irudi
Biashara ya chakula uchawi wake mkubwa upo kwenye ladha nzuri ya chakula na usafi wa hali ya juu, yaani kuna wapishi ukiwapata huwa wanapika hadi wanakera kwa utam wa chakula sasa wewe jiloge kuwafukuza kazi hovyo bila sababu kesho usije ukaja kulia
Ukienda pale mwanza kuna Bar kubwa inasifika kwa kuchoma samaki watam sana , pale ishu sio Bar bali kuna mafundi wakuchoma samaki wapo pale Tajiri anaishi nao vizuri ndio maana kila kukicha wateja wa samaki watam hawakauki, ukijiloga kufukuza tu ukileta mchomaji hivyo wote utawafukuza
Pale temeke kuna msomali mmoja alifungua mgahawa kwenye frem za kishki mtaa wa yombo ,akamuajiri kijana mmoja mtaalam sana wa kupika chapati jamaa akawa anabeba kijiji kama chote, Msomali akaamka vibaya akamwambia kazi basi, jioni akaleta kijana mwingine , yule jamaa akafungua shem kwa mbele akawa anauza chapati mwenyewe
Alihama na kijiji chake yule msomali mgahawa ukaja kumshinda kwa ajili ya utata akaufunga