kwenda21
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 3,422
- 3,393
Ukipata kazi kwa Mhindi, Mwarabu, Mswahili usitangazie watu kuwa uko na ajira, waambie unazugazuga tu maana hakuna bosi hapo na ajira yenyewe inakuwa ka haina uhakika, kuna dada nihouse girl kwa mzungu anakunja 600000.
Wazungu mungu kawagea roho ya huruma sana, hasa inapokuja haki ya mtu mmoja mmoja.
Wazungu mungu kawagea roho ya huruma sana, hasa inapokuja haki ya mtu mmoja mmoja.