Mkuu RitzAnachofanya Dr Slaa ni kuziba shimo la panya kwa mkate wa nyama.
Dr. Slaa amekuwa msemaji wa CCM? Mwambieni amalize ngoma yake hii yetu haiwezi!
Chama
Gongo la mboto DSM
Mkuu RitzAnachofanya Dr Slaa ni kuziba shimo la panya kwa mkate wa nyama.
Ukimpiga swala mshale mkimbilie.....usianze kupiga vigelegele...
| ||
|
siyo huyo mzee tu ata mimi nauchukia ufisadi kuliko kitu chochote dunia. kwahiyo anachofanya huyo mzee hakosei, ni watanzania wengi sana tunalia kila siku kuhusu ufisadi na hicho ndiyo pekee kitakacho iuwa CCM. wakiiba kura kama kawaida yao tuna wapiga mawe kama vibaka. tumeisha wachoka sana
Usimkimbilie muongeze wa pili....!Ukimpiga swala mshale mkimbilie.....usianze kupiga vigelegele...
Halafu anaitwa RAIS. Hata ujumbe wa nyumba kumi ni ZERO huyu. UOGA, KUJIPENDEKEZA, UNAFIKI huo sio uongozi ni UCHAWIJK hataki aonekane mbaya kwa akina Lowasa pia anaogopa kuonekana mbaya kwa jamii. Kwa hiyo anachofanya hapa, ni kuwaweka pamoja Nape na akina Lowasa, halafu ampe Ukatibu mkuu Nape ili Nape awashughulikie (japo hii itakuwa ngumu!) Ili isionekane ni yeye ndiye aliyewashughulikia!
Huyu mzee hana sera ingine zaidi ya ufisadi? analia sana.....aseme mengine...hawa ni watuhumiwa sio mafisadi.....tumechoshwa na sera zake za ufisadi ufisadi....
Ukimpiga swala mshale mkimbilie.....usianze kupiga vigelegele...
Kwako wewe neno ufisadi siju unalitathimini vipi na unaliangalia kwa mapana gani. Kama ni kwa mtazamo mfupi/mdogo/weak utaona ufisadi kama swala dogo. Tunaposema ufisadi, Dr. anaposema ufisadi maana yake ni: Mfumo wa rushwa unaokwamisha maendeleo ya nchi hii katika kila sector e.g ni ufisadi unasababisha huduma za afya kuwa duni, elimu duni, maslahi kwa wafanyakazi wa umma kuwa duni, nishati isiyokuwa ya uhakika mjini na vijijini. Ni ufisadi ndo unaosababisha haki kupatikana kwa shida. Ni ufisadi unasababisha watanzania kunywa matope badala ya maji safi na salama, ni ufisadi ndo unaofanya CCM kuendelea kuwapumbaza watanzania kwamba CCM ndo mmiliki wa nchi hii.
Sasa kuna nini zaidi ya kupamabana nacho zaidi ya ufisadi hapa nchini? Wewe Gamaba Vipi?
Huyu mzee hana sera ingine zaidi ya ufisadi? analia sana.....aseme mengine...hawa ni watuhumiwa sio mafisadi.....tumechoshwa na sera zake za ufisadi ufisadi....
Kiongozi wa Upinzani Nchini Na Katibu Mkuu wa chama kikuu cha upinzani nchini-CHADEMA Dr Wilbroad Slaa amesema ameshangazwa na uamuzi wa CCM kupitisha majina ya watuhumia wakuu wa ufisadi nchini kugombea nafasi mbalimbali ndani ya chama hicho ukiwemo ujumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa CCM-NEC.
Kiongozi huyo machachari nchini amesema hayo yote yamefanywa na CCM licha ya kelele za wananchi kote nchini kulaani ufisadi uliofanywa na watu hao na pia CCM kuizika kauli yake ya kujivua Gamba na kuwaondoa watuhumiwa wa ufisadi.
Hata hivyo Dr Slaa amesema hiyo ni furaha kubwa kwake na chama chake kwani kwa hali hiyo CCM imejizika yenyewe kwani wananchi kamwe hawawezi kukubali kuongozwa tena na chama kinachokumbatia ufisadi kwa viwango hivyo.
Source: Nipashe na Tanzania Daima.